Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Alikuwa kashatua tena ni mwezi wa 10 baada ya International break ilikuwa tulivyopigwa 6-3 na Man CityWakati tunafungwa sita Casemiro alikuwa hajakamilisha taratibu za usajili
Alikuwa kashatua tena ni mwezi wa 10 baada ya International break ilikuwa tulivyopigwa 6-3 na Man CityWakati tunafungwa sita Casemiro alikuwa hajakamilisha taratibu za usajili
Dirisha kubwa alipewa £211m(€245m) ,akatapanya akijua man u Ni kisima Cha Pesa ,akatoa €100m kwa yule Anthony ,€70m kwa Casemiro ambaye hatuna uhakika Kama atadumu msimu huu kwa kiwango kile kile sababu ya umri ,Pesa za kufanya usajili katika dirisha dogo, za kutafuta striker maana alikuwa nazo ?
Kwenye dirisha la January ni striker yupi wa maana alikuwa sokoni ?
Kwenye matumizi ya pesa wakulaumiwa ni Murtough. Walikuwa na nafasi ya kumsajili Antony kwa bei rahisi ila walitumia dirisha zima kumfukuzia De Jong, dk za mwisho ndiyo wakashtuka na Ajax wakagoma kuuza kwa kuhofia replacement ndiyo maana wakakubali £82m.Dirisha kubwa alipewa £211m(€245m) ,akatapanya akijua man u Ni kisima Cha Pesa ,akatoa €100m kwa yule Anthony ,€70m kwa Casemiro ambaye hatuna uhakika Kama atadumu msimu huu kwa kiwango kile kile sababu ya umri ,
Alifanikiwa japo naonaga Kama bahati kumpata Lisandro Martinez ,maana connection ya van der sar , plus maamuz ya mwisho ushawishi wa pesa maana Arsenal tulikuwa tumchukue kwa €50m tu, ila sababu alikuwa na mzigo wa £200m+ alitoa nearly £62m(€70m),fair enough huu Ni usajili bora
Hiyo pesa angeweza kusajili young GK,CB,RW na DM ambapo dirisha hili angeimarisha attacking na sehemu chache , Sasa alijua Kuna pesa za kuchota , January wakamkaushia , dirisha la Sasa tetes zilianza man u isipoingia UCL ,bajet itakuwa finyu , now imeingia but Kuna number kubwa ya wachezaji wenye wage Bill kubwa , lazima waondoke waje wapya
Kwahiyo kwasasa ajifunze matumizi mazuri ya pesa
Kwasasa achague moja
CF lakin ampe mkataba Degea au
Onana lakini no CF
Au auze waliopo abane apate CF plus new GK
Kwenye wasaidizi nakubaliana na wewe , hata DOF wenu hajulikani kazi yake Ni ipi hasa nikama kila kitu kaachiwa kochaKwenye matumizi ya pesa wakulaumiwa ni Murtough. Walikuwa na nafasi ya kumsajili Antony kwa bei rahisi ila walitumia dirisha zima kumfukuzia De Jong, dk za mwisho ndiyo wakashtuka na Ajax wakagoma kuuza kwa kuhofia replacement ndiyo maana wakakubali £82m.
Antony siyo usajili mbaya, bado ni raw talent. EtH anahitaji tu wamiliki na wasaidizi wenye akili. Hata Arteta anatapatapa tu afadhali msimu huu kapewa fungu la kueleweka, bila Denver Nuggets kuwa bingwa NBA mngesajili wachezaji wenu wa mafungu kama kawaida.
Kuvunjia mkataba sio easy sana hasa kwa mishahara wanayopokea na hicho kitu either Glazers ama akitokea mmiliki mpya sidhani kama wataweza kukifanya maana inahitajika pesa si kidogo.kwa budget ya usajili ya man utd ;kama wachezaji wao hawauziki sokoni ili kuweza kusajili wengine.. njia nyingine kwa kipindi hiki waitumie ni kuwavunjia mikataba tu na kuangalia kwenye academy yao iwapo wachezaji wazuri wapo wwapandishe snr team..
iyo pia unakuwa umefanya investment tofauti na kwenda kusajili wengine na kuwalipa mishahara mikubwa.
Rio anatupanga tu ili apate views kwenye media yakeHabari mpya zilizozagaa na za chini² toka kwa mtu wa karibu wa Ferdinand tunaweza kusikia update ya takeover muda wowote kuanzia kesho
EtH hafiki krisimasi, mark my wordDirisha kubwa alipewa £211m(€245m) ,akatapanya akijua man u Ni kisima Cha Pesa ,akatoa €100m kwa yule Anthony ,€70m kwa Casemiro ambaye hatuna uhakika Kama atadumu msimu huu kwa kiwango kile kile sababu ya umri ,
Alifanikiwa japo naonaga Kama bahati kumpata Lisandro Martinez ,maana connection ya van der sar , plus maamuz ya mwisho ushawishi wa pesa maana Arsenal tulikuwa tumchukue kwa €50m tu, ila sababu alikuwa na mzigo wa £200m+ alitoa nearly £62m(€70m),fair enough huu Ni usajili bora
Hiyo pesa angeweza kusajili young GK,CB,RW na DM ambapo dirisha hili angeimarisha attacking na sehemu chache , Sasa alijua Kuna pesa za kuchota , January wakamkaushia , dirisha la Sasa tetes zilianza man u isipoingia UCL ,bajet itakuwa finyu , now imeingia but Kuna number kubwa ya wachezaji wenye wage Bill kubwa , lazima waondoke waje wapya
Kwahiyo kwasasa ajifunze matumizi mazuri ya pesa
Kwasasa achague moja
CF lakin ampe mkataba Degea au
Onana lakini no CF
Au auze waliopo abane apate CF plus new GK
Asifike tu kwa sababu timu ndio inakuwa ishajifia tena chini ya Glazers baada ya yeye kuondoka ndio itakuwa worst watakuja makocha wote tutaendelea kuwaangushia mizigo tu.EtH hafiki krisimasi, mark my word
hiyo timu yenu mnajitahidi tu kuwepo top 4 lakini hamuwezi pata kombe lolote kubwaKwenye wasaidizi nakubaliana na wewe , hata DOF wenu hajulikani kazi yake Ni ipi hasa nikama kila kitu kaachiwa kocha
Arteta alianza kwa bajeti ya £75m ,akanunua Partey 45 ,Ben white 50, akaja akapewa £140m akanunua Ramsdale 30, odegaard 30, Magalhaes 26, n.k akaja akapewa £120m , akanunua Jesus, Zincheko,Vieira, na vitoto vya U23 , ndio Sasa amepewa £200m+
Ninachotaka kusema 10hag atumie resources zilizopo kwa kuendana na mazingira lakin asiwategemee Sana DOF na management kwa Ujumla watamfelisha kama walivyofanya kwa waliopita.
Kwasasa tumeshajenga timu yakupambania mataji ,sio kushirikihiyo timu yenu mnajitahidi tu kuwepo top 4 lakini hamuwezi pata kombe lolote kubwa
Ukiwa ushawahi kuishi Netherlands na unaweza kupiga danadana basi ushapata mkataba United.UTAPELI HAUTAWAHI KUISHA
10hag want Sofiyan Amrabat
Nasikia 10hag ana connection nae huyu jamaa toka kipindi Cha nyuma




Tukutane July 22Ukiwa ushawahi kuishi Netherlands na unaweza kupiga danadana basi ushapata mkataba United.
Jokes aside, Amrabat mtu wa kazi chafu hana kuremba. Alinipotezea kiungo moja la kitapeli la £100m kwenye fainali ya.........![]()
Ten hag hana mbinu, hana ushawishi kwa wachezaji, mchezaji yoyote anaesakwa na huyu kipara ni eitherUTAPELI HAUTAWAHI KUISHA
10hag want Sofiyan Amrabat
Nasikia 10hag ana connection nae huyu jamaa toka kipindi Cha nyuma
Ndiyo mechi zenu hizo Arse8. Zikifika mechi muhimu mnapigiwa comeback mpaka na West Ham.Tukutane July 22