Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eric Bailly and Alex Telles have been informed that they are not part of the project. United are ready to accept a small amount of money.


[FabrizioRomano]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |View attachment 2677161
IMG_20230703_131209_189.jpg
 
Harry Maguire is going to have a chat with Erik ten Hag. There is a chance he will leave the club.

[FabrizioRomano]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230703_131206_242.jpg
 
Unless by the time unasoma post yangu ulikua umekalia kitu chenye ncha kali.

Nimesema wachezaji toka ligi ya uholanzi sijasema waholanzi, na katika sajili zote alizofanya EtH ni Sabilzer na Casemiro ndio hawajapitia ligi ya uholanzi.

Casemiro sababu ya kumkosa FDJ (mholanzi)

Sabilzer sababu ya kuumia kwa DvB (mholanzi)
Huu Ni ukweli lakini watu hawapend kuukubali , sajili Kama za hojlmund Ni kuna connection ya wakala wa 10 hag ndio wakala wa huyo dogo,

Sajili zake zote au asilimia kubwa Zina connection au alishawahi kuwafindisha au wamepita Erevedise

Watu walihoji kwanini asingempa nafasi McNeill au akatafuta CF wamaana kuliko kumleta ndugu yake Weghost ambaye hajafunga Goli hata 1
 
Huu Ni ukweli lakini watu hawapend kuukubali , sajili Kama za hojlmund Ni kuna connection ya wakala wa 10 hag ndio wakala wa huyo dogo,

Sajili zake zote au asilimia kubwa Zina connection au alishawahi kuwafindisha au wamepita Erevedise

Watu walihoji kwanini asingempa nafasi McNeill au akatafuta CF wamaana kuliko kumleta ndugu yake Weghost ambaye hajafunga Goli hata 1
Kijana inaonekana hufuatilii vyema soka Hojlund ana miaka 20 tu na hajawahi kuwa na connection na ETH hadi mwezi uliopita alipojiunga na Agency ambayo inamsimamia pia ETH.

Connection ya chini ya mwezi mmoja au sio?
 
Huu Ni ukweli lakini watu hawapend kuukubali , sajili Kama za hojlmund Ni kuna connection ya wakala wa 10 hag ndio wakala wa huyo dogo,

Sajili zake zote au asilimia kubwa Zina connection au alishawahi kuwafindisha au wamepita Erevedise

Watu walihoji kwanini asingempa nafasi McNeill au akatafuta CF wamaana kuliko kumleta ndugu yake Weghost ambaye hajafunga Goli hata 1
Unamaanisha Charlie McNeill? Kama ndiyo, naona bado kwake kutegemewa. Anaweza kuwa na kila kitu kucheza CF ila kwa EPL anahitaji muscular physique.

Weghorst alikuja kwasababu Glazers waligoma kutoa pesa na kocha hakuwa na option nyingine. January kupata quality striker ni ngumu sana.
 
Huu Ni ukweli lakini watu hawapend kuukubali , sajili Kama za hojlmund Ni kuna connection ya wakala wa 10 hag ndio wakala wa huyo dogo,

Sajili zake zote au asilimia kubwa Zina connection au alishawahi kuwafindisha au wamepita Erevedise

Watu walihoji kwanini asingempa nafasi McNeill au akatafuta CF wamaana kuliko kumleta ndugu yake Weghost ambaye hajafunga Goli hata 1
Anamtaka Sofyan Amrabat, alishawahi kumfundisha Utrecht but the so called top red watasema tuna ajenda na ten hag
 
Anamtaka Sofyan Amrabat, alishawahi kumfundisha Utrecht but the so called top red watasema tuna ajenda na ten hag
Sasa ajabu nini mbona hata Ancelotti alikuwa anamvuta James Rodriguez kila anapoenda,ama JosΓ© Mourinho na Matic na ukichimba zaidi makocha wengi wana kawaida hiyo sio dhambi kufanya kazi na former players wako ila walioota kutu kwenye ubongo kila kitu kwao nongwa
 
Unless by the time unasoma post yangu ulikua umekalia kitu chenye ncha kali.

Nimesema wachezaji toka ligi ya uholanzi sijasema waholanzi, na katika sajili zote alizofanya EtH ni Sabilzer na Casemiro ndio hawajapitia ligi ya uholanzi.

Casemiro sababu ya kumkosa FDJ (mholanzi)

Sabilzer sababu ya kuumia kwa DvB (mholanzi)
Sabitzer ilikuwa ni replacement ya Eriksen aliyekuwa injured.
 
Van De Beek msimu ulioisha hata game 5 hajafikisha acha uongo.

Alichukuliwa Sabitzer baada ya Eriksen kuumia dhidi ya Reading January.

Nimeweka orodha ya wachezaji wa nje ya Uholanzi kocha aliowataka na target zake wengine akawakosa.

Kim Min Jae
Lavia anaenda Liverpool
Axel Disasi
Todibo
Nunez tulimkosa
Hojlund
Mehdi Taremi
Koch
Rabiot
Mount
Goncalo Ramos
Diogo Costa


Tukirudi kwa FDJ sidhani kama hata tungemsajili ile 6 angeiweza,ninachoelewa labda kocha alimtaka acheze pale kati na Scott la sivyo tungechapika sana yule labda 8 ndio anatisha ila DM ni kujilipua.

Casemiro pia nina wasiwasi haukuwa usajili wake maana mwanzo alikuwa anampiga benchi akiona Scott ni bora hadi tulivyochezea 6 kwa City ndio akili ikamkaa sawa.

Wachezaji wengi wa nje ya Uholanzi timu zao zinatukatalia nyingine zinataka pesa ndefu sana makusudi.

Asingekuwepo ETH hata hao akina Martinez na Malacia mfano tungewataka wala tusingewapata ni connection za kocha tu ndio zimetusaidia kwa hapo ila kwa sasa hatuna ushawishi kwa wachezaji hata mchezaji wa timu iliyoshuka daraja anaweza kutupiga chini tukimtaka ndio maana inatumika mishahara mikubwa kuwatamanisha.

We si unaona Liverpool ambavyo wanasajili bila tetesi zikiwepo sana ni wiki wanamaliza kazi ila sisi tunaweza kumtaka mtu mwezi mzima na tukamkosa.

Wa kuiokoa timu ni mmiliki mpya tu na wapatikane Technical na Football Director wengine
Wakati tunafungwa sita Casemiro alikuwa hajakamilisha taratibu za usajili
 
Huu Ni ukweli lakini watu hawapend kuukubali , sajili Kama za hojlmund Ni kuna connection ya wakala wa 10 hag ndio wakala wa huyo dogo,

Sajili zake zote au asilimia kubwa Zina connection au alishawahi kuwafindisha au wamepita Erevedise

Watu walihoji kwanini asingempa nafasi McNeill au akatafuta CF wamaana kuliko kumleta ndugu yake Weghost ambaye hajafunga Goli hata 1
Pesa za kufanya usajili katika dirisha dogo, za kutafuta striker maana alikuwa nazo ?

Kwenye dirisha la January ni striker yupi wa maana alikuwa sokoni ?
 
Back
Top Bottom