Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
 
Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
Ni kweli mmefulia
 
Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
Kinachosabaisha sio Inter ni financial fair play.

Na sio kwamba tumefulia kwa taarifa iliyotoka wiki iliyopita timu imepiga pesa nyingi sana msimu ulioisha.

Guess what Glazers wamekaza kwenye hela hasa kufuatia sakata la uuzaji timu linaloendelea imetolewa €120 tu kwenye bajeti ili tusajili zaidi ni lazima tuuze wachezaji pesa itayopatikana tusajilie wengine.

Hali ilivyo hadi sasa ni kwamba kwa hela iliyobaki tukisajili kipa basi tunakuwa hatuna hela ya kusajili striker,na tukisajili striker basi hela ya kusajili kipa tunakuwa hatuna.

Na kama unavyojua timu yetu ni vilaza kwenye kusajili hadi kwenye kuuza wachezaji.

Napatwa na wasiwasi tunaenda msimu ujao na kikosi kilekile cha msimu uliopita na unafahamu madhaifu yake ikitokea majeraha na suspension tumekwisha:
 
Bado tunarudi pale pale kuwa EtH anataka kuifanya united kama kituo cha wachezaji toka ligi ya uholanzi
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.

Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.

Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena


Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu

So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.

Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
 
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.

Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.

Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena


Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu

So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.

Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
Hakuna team ronaldo humu, yule ni legend wa timu tunampenda sote....lkn namba hazidaganyi mholanzi ni mmoja malacia tu ndio kaletwa na Ethan, so watu acha waseme japo wana ongea uongo...relax brother
 
Hakuna team ronaldo humu, yule ni legend wa timu tunampenda sote....lkn namba hazidaganyi mholanzi ni mmoja malacia tu ndio kaletwa na Ethan, so watu acha waseme japo wana ongea uongo...relax brother
Eeh kaletwa na ETH na sio ajabu hiyo kitu mbona Pep ana Wahispania pale City.

Sio dhambi kocha kuleta hata mchezaji mmoja wa native kama yake.

Ningeona kuna Wadachi hata wa5 kawaleta ndio ningeanza kubweka kama hao kenge
 
Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
fake news
 
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.

Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.

Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena


Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu

So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.

Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
Relax mkuu, mashabiki wa United hatupo hivyo.
Hizo panic za hasira kwenye masuala madogo ya burudani waachie kina Arsenyani, wale ni misukule wasiotaka kuona Arteta anakosolewa, anabezwa au hata kutaniwa.
Sisi humu akija mpuuzi yoyote anaedhihaki eidha iwe ni timu, mchezaji au kocha wetu hua hatukasiriki, tunajua raha inayoinegesha hii burudani ya soka ni utani baina ya timu hasimu so tutamjibu kwa utani au tutamuunga mkono na kumsupport kabisa ili asifikie lile lengo lake la kutuona tumepanic na kukasirika.
Tujitahidi sana kutumia lugha nzuri wenyewe kwa wenyewe humu ili mashabiki wa timu nyingine wasipate mwanya wa kutubeza na kutudhihaki.
Pia kila shabiki wa Utd humu ndani hua ana mawazo na maoni yake juu ya timu, hatuwezi wote tukawa na mtazamo au maoni yanayofanana, kila mtu ajitahidi kuheshimu maoni ya mwenzake.
Panapo hitaji kueleweshana basi tujitahidi kutumia lugha ya kiistarabu na tusilazimishe wote humu ndani tukawa na mtazamo mmoja unaofanana.
 
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.

Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.

Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena


Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu

So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.

Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr



toka ligi ya uholanzi

Unless by the time unasoma post yangu ulikua umekalia kitu chenye ncha kali.

Nimesema wachezaji toka ligi ya uholanzi sijasema waholanzi, na katika sajili zote alizofanya EtH ni Sabilzer na Casemiro ndio hawajapitia ligi ya uholanzi.

Casemiro sababu ya kumkosa FDJ (mholanzi)

Sabilzer sababu ya kuumia kwa DvB (mholanzi)
 
Unless by the time unasoma post yangu ulikua umekalia kitu chenye ncha kali.

Nimesema wachezaji toka ligi ya uholanzi sijasema waholanzi, na katika sajili zote alizofanya EtH ni Sabilzer na Casemiro ndio hawajapitia ligi ya uholanzi.

Casemiro sababu ya kumkosa FDJ (mholanzi)

Sabilzer sababu ya kuumia kwa DvB (mholanzi)
Van De Beek msimu ulioisha hata game 5 hajafikisha acha uongo.

Alichukuliwa Sabitzer baada ya Eriksen kuumia dhidi ya Reading January.

Nimeweka orodha ya wachezaji wa nje ya Uholanzi kocha aliowataka na target zake wengine akawakosa.

Kim Min Jae
Lavia anaenda Liverpool
Axel Disasi
Todibo
Nunez tulimkosa
Hojlund
Mehdi Taremi
Koch
Rabiot
Mount
Goncalo Ramos
Diogo Costa


Tukirudi kwa FDJ sidhani kama hata tungemsajili ile 6 angeiweza,ninachoelewa labda kocha alimtaka acheze pale kati na Scott la sivyo tungechapika sana yule labda 8 ndio anatisha ila DM ni kujilipua.

Casemiro pia nina wasiwasi haukuwa usajili wake maana mwanzo alikuwa anampiga benchi akiona Scott ni bora hadi tulivyochezea 6 kwa City ndio akili ikamkaa sawa.

Wachezaji wengi wa nje ya Uholanzi timu zao zinatukatalia nyingine zinataka pesa ndefu sana makusudi.

Asingekuwepo ETH hata hao akina Martinez na Malacia mfano tungewataka wala tusingewapata ni connection za kocha tu ndio zimetusaidia kwa hapo ila kwa sasa hatuna ushawishi kwa wachezaji hata mchezaji wa timu iliyoshuka daraja anaweza kutupiga chini tukimtaka ndio maana inatumika mishahara mikubwa kuwatamanisha.

We si unaona Liverpool ambavyo wanasajili bila tetesi zikiwepo sana ni wiki wanamaliza kazi ila sisi tunaweza kumtaka mtu mwezi mzima na tukamkosa.

Wa kuiokoa timu ni mmiliki mpya tu na wapatikane Technical na Football Director wengine
 
Back
Top Bottom