Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Moja ya hasara ya kulipa mishahara mikubwa ni hii

Mchezaji akilipwa mshahara mkubwa alafu ana uwezo wa kawaida inakuwa ngumu sana kumuuza kwa sababu zifuatazo:

1) Timu zingine zinazotaka kumnunua wanashindwa kufikia makubaliano ya mshahara wake; wachezaji wengi hawakubali kwenda timu kwa mshahara mdogo kuliko anaolipwa.

2) Mchezaji mwingine yuko radhi akae benchi maadamu kibunda kinaingia. Hajali.

3) Ili kumuuza inabidi klabu iwe ruthless—yaani kama mkataba wake amebakiza miaka miwili wamlipe ela yote ya miaka hiyo iliyobaki, wamfukuze/wavunje mkataba. Hiki kitu kwa Glazers ngumu sana kufanya.

Tunaposema kulipa mishahara mikubwa sana kuna madhara hasa kama mchezaji kiwango chake hakistahili malipo hayo, hasara zake ndio kama hizo.

Machester United ndio timu inayolipa mishahara mikubwa zaidi EPL. Lakini huenda ndio timu yenye wachezaji wavivu zaidi EPL.

Matatizo yote tumejisababishia sisi, tusingeshindwa kuuza wachezaji ili tupate hela ya kusajili wengine.

Watu kama Maguire na Martial ni mizigo ila kuuzwa hawataki,acha tuendelee kuwaangalia Gunners soon wanamfikia City
 
Moja ya hasara ya kulipa mishahara mikubwa ni hii

Mchezaji akilipwa mshahara mkubwa alafu ana uwezo wa kawaida inakuwa ngumu sana kumuuza kwa sababu zifuatazo:

1) Timu zingine zinazotaka kumnunua wanashindwa kufikia makubaliano ya mshahara wake; wachezaji wengi hawakubali kwenda timu kwa mshahara mdogo kuliko anaolipwa.

2) Mchezaji mwingine yuko radhi akae benchi maadamu kibunda kinaingia. Hajali.

3) Ili kumuuza inabidi klabu iwe ruthless—yaani kama mkataba wake amebakiza miaka miwili wamlipe ela yote ya miaka hiyo iliyobaki, wamfukuze/wavunje mkataba. Hiki kitu kwa Glazers ngumu sana kufanya.

Tunaposema kulipa mishahara mikubwa sana kuna madhara hasa kama mchezaji kiwango chake hakistahili malipo hayo, hasara zake ndio kama hizo.

Machester United ndio timu inayolipa mishahara mikubwa zaidi EPL. Lakini huenda ndio timu yenye wachezaji wavivu zaidi EPL.

Matatizo yote tumejisababishia sisi, tusingeshindwa kuuza wachezaji ili tupate hela ya kusajili wengine.

Watu kama Maguire na Martial ni mizigo ila kuuzwa hawataki,acha tuendelee kuwaangalia Gunners soon wanamfikia City
Arsenal tuliingia hasara kuwavunjia mikataba Ozil,Auba,n.k
 
Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
 
Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
Ni kweli mmefulia
 
Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
Kinachosabaisha sio Inter ni financial fair play.

Na sio kwamba tumefulia kwa taarifa iliyotoka wiki iliyopita timu imepiga pesa nyingi sana msimu ulioisha.

Guess what Glazers wamekaza kwenye hela hasa kufuatia sakata la uuzaji timu linaloendelea imetolewa €120 tu kwenye bajeti ili tusajili zaidi ni lazima tuuze wachezaji pesa itayopatikana tusajilie wengine.

Hali ilivyo hadi sasa ni kwamba kwa hela iliyobaki tukisajili kipa basi tunakuwa hatuna hela ya kusajili striker,na tukisajili striker basi hela ya kusajili kipa tunakuwa hatuna.

Na kama unavyojua timu yetu ni vilaza kwenye kusajili hadi kwenye kuuza wachezaji.

Napatwa na wasiwasi tunaenda msimu ujao na kikosi kilekile cha msimu uliopita na unafahamu madhaifu yake ikitokea majeraha na suspension tumekwisha:
 
Bado tunarudi pale pale kuwa EtH anataka kuifanya united kama kituo cha wachezaji toka ligi ya uholanzi
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.

Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.

Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena


Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu

So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.

Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
 
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.

Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.

Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena


Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu

So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.

Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
Hakuna team ronaldo humu, yule ni legend wa timu tunampenda sote....lkn namba hazidaganyi mholanzi ni mmoja malacia tu ndio kaletwa na Ethan, so watu acha waseme japo wana ongea uongo...relax brother
 
Hakuna team ronaldo humu, yule ni legend wa timu tunampenda sote....lkn namba hazidaganyi mholanzi ni mmoja malacia tu ndio kaletwa na Ethan, so watu acha waseme japo wana ongea uongo...relax brother
Eeh kaletwa na ETH na sio ajabu hiyo kitu mbona Pep ana Wahispania pale City.

Sio dhambi kocha kuleta hata mchezaji mmoja wa native kama yake.

Ningeona kuna Wadachi hata wa5 kawaleta ndio ningeanza kubweka kama hao kenge
 
Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,

Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
fake news
 
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.

Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.

Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena


Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu

So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.

Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
Relax mkuu, mashabiki wa United hatupo hivyo.
Hizo panic za hasira kwenye masuala madogo ya burudani waachie kina Arsenyani, wale ni misukule wasiotaka kuona Arteta anakosolewa, anabezwa au hata kutaniwa.
Sisi humu akija mpuuzi yoyote anaedhihaki eidha iwe ni timu, mchezaji au kocha wetu hua hatukasiriki, tunajua raha inayoinegesha hii burudani ya soka ni utani baina ya timu hasimu so tutamjibu kwa utani au tutamuunga mkono na kumsupport kabisa ili asifikie lile lengo lake la kutuona tumepanic na kukasirika.
Tujitahidi sana kutumia lugha nzuri wenyewe kwa wenyewe humu ili mashabiki wa timu nyingine wasipate mwanya wa kutubeza na kutudhihaki.
Pia kila shabiki wa Utd humu ndani hua ana mawazo na maoni yake juu ya timu, hatuwezi wote tukawa na mtazamo au maoni yanayofanana, kila mtu ajitahidi kuheshimu maoni ya mwenzake.
Panapo hitaji kueleweshana basi tujitahidi kutumia lugha ya kiistarabu na tusilazimishe wote humu ndani tukawa na mtazamo mmoja unaofanana.
 
Back
Top Bottom