Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Katika wachezaji wetu ambaye simpendi kuliko ni Martial anacheza kama kalazimishwa hata facial expression zake kama anaonewa.

Halafu alijiumiza makusudi ili asiuzwe kwa sababu hatuwezi kuuza mtu akiwa majeruhi.

Na pre season akifunga vigoli viwili kocha anamuamini kweli kumbe ni mtego.Saa hizi hatakiwi kudanganyila kabisa ni atafute striker hata Mehdi Taremi kwa €20m sio mbaya na backup yake young striker halafu Martial aozee benchi kama akina Lingard na Jones.
Tuna imani na Martial
 
Diogo Costa na Kevin Trapp wapo Eredivisie?


Nishasema mwanzo kuwa Ten Hag akifeli kupata target yake plan B yake anaenda kwa wale wepesi kuwapata ndio anatua Eredivisie.

Hata akiwa Ajax alikuwa hatumii Dutchs unless wana skills sana kama ingekuwa hivyo wangekuwa 80% ya first 11 wanachukua wao.

Halafu umesahau Wenger wenu alikuwaga anabeba sana Wachezaji toka ligue 1? Rafa Benitez akiwa Liverpool alikuwa anabeba sana wachezaji toka La Liga?
Ila akifanya wa United ndio crime

Porto walitaka €70m kwa Costa na bajeti yetu haieleweki ndio maana akaenda kwa Onana wa bei nafuu kiasi.

Na akishindwa hapo ndio anaweza kuja na plan ya mwisho wa Mdachi wa Feyenoord ama ambakishe Henderson.

Van Gaal alishamuonya kufanya kazi kwenye timu ya kisenge hii.


We subiri siku Mwarabu anaichukua timu halafu Techinical na Football Directors wakabadilishwa uone kama atasaini wachezaji wenye connection nae.
Sawa ngoja tuone
 
Casemiro alitoka Erivedise ?
Most ya sajili zake Ni hizo, alipomkosa De jong ndipo akaenda kwa Casemiro

Vipaumbele vyake uwe umewahi kucheza uholanzi au aliwahi kukuhitaji zaman akakukosa

Nje ya hapo Ni Hawa ambao wanajulikana Kama kina Kane ,n.k
 
Moja ya hasara ya kulipa mishahara mikubwa ni hii

Mchezaji akilipwa mshahara mkubwa alafu ana uwezo wa kawaida inakuwa ngumu sana kumuuza kwa sababu zifuatazo:

1) Timu zingine zinazotaka kumnunua wanashindwa kufikia makubaliano ya mshahara wake; wachezaji wengi hawakubali kwenda timu kwa mshahara mdogo kuliko anaolipwa.

2) Mchezaji mwingine yuko radhi akae benchi maadamu kibunda kinaingia. Hajali.

3) Ili kumuuza inabidi klabu iwe ruthless—yaani kama mkataba wake amebakiza miaka miwili wamlipe ela yote ya miaka hiyo iliyobaki, wamfukuze/wavunje mkataba. Hiki kitu kwa Glazers ngumu sana kufanya.

Tunaposema kulipa mishahara mikubwa sana kuna madhara hasa kama mchezaji kiwango chake hakistahili malipo hayo, hasara zake ndio kama hizo.

Machester United ndio timu inayolipa mishahara mikubwa zaidi EPL. Lakini huenda ndio timu yenye wachezaji wavivu zaidi EPL.

Matatizo yote tumejisababishia sisi, tusingeshindwa kuuza wachezaji ili tupate hela ya kusajili wengine.

Watu kama Maguire na Martial ni mizigo ila kuuzwa hawataki,acha tuendelee kuwaangalia Gunners soon wanamfikia City
 
Moja ya hasara ya kulipa mishahara mikubwa ni hii

Mchezaji akilipwa mshahara mkubwa alafu ana uwezo wa kawaida inakuwa ngumu sana kumuuza kwa sababu zifuatazo:

1) Timu zingine zinazotaka kumnunua wanashindwa kufikia makubaliano ya mshahara wake; wachezaji wengi hawakubali kwenda timu kwa mshahara mdogo kuliko anaolipwa.

2) Mchezaji mwingine yuko radhi akae benchi maadamu kibunda kinaingia. Hajali.

3) Ili kumuuza inabidi klabu iwe ruthless—yaani kama mkataba wake amebakiza miaka miwili wamlipe ela yote ya miaka hiyo iliyobaki, wamfukuze/wavunje mkataba. Hiki kitu kwa Glazers ngumu sana kufanya.

Tunaposema kulipa mishahara mikubwa sana kuna madhara hasa kama mchezaji kiwango chake hakistahili malipo hayo, hasara zake ndio kama hizo.

Machester United ndio timu inayolipa mishahara mikubwa zaidi EPL. Lakini huenda ndio timu yenye wachezaji wavivu zaidi EPL.

Matatizo yote tumejisababishia sisi, tusingeshindwa kuuza wachezaji ili tupate hela ya kusajili wengine.

Watu kama Maguire na Martial ni mizigo ila kuuzwa hawataki,acha tuendelee kuwaangalia Gunners soon wanamfikia City
Arsenal tuliingia hasara kuwavunjia mikataba Ozil,Auba,n.k
 
Back
Top Bottom