Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,647
Mbadala wa casemiro ni nani? Zile ni mbio ndefu sana, you can't put a hundred percent he'll be okay for the whole season hasa ukizingatia umri wake umesogea piaTukianza hivi next season siyo mbaya sana. Mpaka Aston Villa anasajili Pau Torres sisi tupotupo tu. Next season ukikaa vibaya points 3 zinaweza kuwa story za kusadikika.View attachment 2673155
Ujio wa kipa mpya ni muhimu. Maamuzi ya kocha ndiyo yatamaliza utata wote.Wameziweka kwa ushahidi wa wanaobisha, kuna saves nyingi De Gea anazifanya kufuta makosa aliyofanya dk 1 nyuma.
Nenda kaangalie kama akina Becker na Ederson wana mistakes za kijinga
Hana mbadala na tatizo ni pesa. Ingekuwa budget yetu ipo vizuri kiungo kama Caicedo angetufaa zaidi maana angeweza kucheza double pivot na hata Casemiro akikosekana angeweza kucheza #6 pia.Mbadala wa casemiro ni nani? Zile ni mbio ndefu sana, you can't put a hundred percent he'll be okay for the whole season hasa ukizingatia umri wake umesogea pia
Aisee..Hana mbadala na tatizo ni pesa. Ingekuwa budget yetu ipo vizuri kiungo kama Caicedo angetufaa zaidi maana angeweza kucheza double pivot na hata Casemiro akikosekana angeweza kucheza #6 pia.
Tofauti ya United ya 2021/22 na 22/23 ni Casemiro,akikosekana tunapoteana si kitoto tunarudi wale wa kupigwa 4 na Watford.Mbadala wa casemiro ni nani? Zile ni mbio ndefu sana, you can't put a hundred percent he'll be okay for the whole season hasa ukizingatia umri wake umesogea pia
Yote wanayataka Glazers ***** zao waachie timu harakaFlano
Endelea kupiga kelele ,Hali tete huku
JUST IN:
Manchester United are now looking at Feyenoordβs Justin Bijlow and Eintracht Frankfurtβs Kevin Trapp to solve Erik ten Hagβs keeper headache.
FFP restrictions mean United donβt have the Β£60 million it would take to buy Andre Onana @MullockSMirror
Raya ni bora kushinda Onana. π―Halafu Inter wanataka β¬50m hadi β¬55m.
Hizo habari za kutaka kumkosa Onana kisa β¬60m bila shaka zimeanzishwa na wapiga debe wa De Gea ili kocha alazimike kumsainisha mkataba mpya.
ETH hatakiwi kuyumba aende hata kwa Raya au huyo wa Feyenoord
Eric ten hag hajui kusajiri
Hajui kufanya sub