Hapa ni kuomba tupigwe la tatu, labda tukifikia kiwango hicho cha uchovu wafanyao maamuzi ndo wataona kwamba United hawana future kama wakiendelea kuongozwa na David Moyes
last 16 games timu zote zimeshinda ugenini isipokuwa sisi man utd!tumetia aibu
Mechi haikuwa na haja ya kuangalia unakaa mezani unaendelea na mambo yako kama kusoma na mengineyo
aidha utakuwa haupo serious au umeanza kuangalia mpira hivi karibuni,haiwezekani ukawa hauji kama leo kuna ucl matches zinaendelea
Shiiidaaaa.....
kocha ni galasa kuu,wachezaji ni magalasa wasaidizi,what im wondering dm doesnt seems to learn from his mistakes...