Unamwonea Chris. Yeye ni mzuri sana akicheza kama CB. Akicheza kama RB, uwa anabofya sana.
kwenye kushambulia anababaika sana,hata kama sio namba yake being proffesional means kucheza zaidi ya namba moja mbona jones huwa anacheza 2,na mbona valencia huwa anashushwa sometimes kucheza mbili how many times tumememwona rooney anakuja kucheza namba 8.
DM has to do subs....
he did,ingekuwa mimi ningemtoa smalling valencia arudi na. 2
Samahani jamani...hivi Rooney na Van pasi wako leo uwanjani? Mbona siwaoni? Au ni macho yangu tu?
Samahani jamani...hivi Rooney na Van pasi wako leo uwanjani? Mbona siwaoni? Au ni macho yangu tu?