Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Duh nilisahau kwamba kuna mpira leo...
kipi kimekukumbusha..??
Duh nilisahau kwamba kuna mpira leo...
Rooney na Van Persie ni chachadu tu kama pilau halijapikwa utamu chachandu haina maana. David Moyes ni mgumu wa kuelewa na kufanya mabadiliko kuendena na matukio yanayotokea.
2-0, dogo kutoka Arsenal kapiga...
Amini nakuambia...huyu dogo naye akirudi Arsenal si chochote si lolote naye atakuwa kama wakina Giroud tu.
Lakini cha ajabu hapa anasukuma kabumbu balaa
kipi kimekukumbusha..??
hakuna shot ata nusu leoHivi man u tuna shot on target yoyote????
Hii ni gemu ambayo timu imecheza vibaya kuliko gemu yoyote katika msimu huu.
2-0, dogo kutoka Arsenal kapiga...
garasa ni kocha wala si wachezaji.
Nimefungua internet mkuu nkaona mnacheza