hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,683
Leteni hiyo £65M kwa Mount, acheni ubahili mbona mlitoa £100 kwa garasa Antony.
The blues tunawauzia mashine ya kazi.



Ujinga wakati wa kwenda ,7hag kasema hawezi ku overpay
Leteni hiyo £65M kwa Mount, acheni ubahili mbona mlitoa £100 kwa garasa Antony.
The blues tunawauzia mashine ya kazi.







nacheka utazani mazuriIla imagine mtu kamuacha gundogan ila sisi maflop pale tunabembelezana tuCity kabeba treble ila mpaka sasa kashasajiri nafikiri wawili up to now, sisi waomba mungu kila siku tetesi tena za huyo flop wakingereza mount, another sancho
Kweli glazers wametuweza ila waingereza ndio wakome kuuza timu zao kwa wamarekani,
Kwa miaka ya hivi karibuni sioni timu ya kumzuia city asibebe mataji pale england, timu yenye jeuri ya kumuacha mchezaji aina ya Gundogan
Na sasa nasikia city washapeleka offer kwa declan ricenacheka utazani mazuri
yani sitashangaa msimu ujao wakarudi wote tusiuze wala kuacha hata mmoja.
Huyu dogo anaweza kwenda kukiwasha huko tukamtaka tena kwa 100mil 😀Borussia Dortmund are moving closer to sign #MUFC’s Anthony Elanga.
#Ekremkonur
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |
Kabisa yaani timu inajiuliza ibaki eti na De Gea,Maguire,Martial,Sancho,Fred na Scott huku kuna takataka Antony ndio ipambanie ubingwa dah.City kabeba treble ila mpaka sasa kashasajiri nafikiri wawili up to now, sisi waomba mungu kila siku tetesi tena za huyo flop wakingereza mount, another sancho
Kweli glazers wametuweza ila waingereza ndio wakome kuuza timu zao kwa wamarekani,
Kwa miaka ya hivi karibuni sioni timu ya kumzuia city asibebe mataji pale england, timu yenye jeuri ya kumuacha mchezaji aina ya Gundogan
Na sasa nasikia city washapeleka offer kwa declan ricenacheka utazani mazuri
Hamna dalili ya kuuza mtu..Ila imagine mtu kamuacha gundogan ila sisi maflop pale tunabembelezana tuyani sitashangaa msimu ujao wakarudi wote tusiuze wala kuacha hata mmoja.
![]()
Sasa watu kama Martial na Maguire wapewe heshima ipiSisi mashabiki na wapenzi wa manchester united ndio tunaanza kwanza kuwashushia heshima wachezaji wetu.

Ila imagine mtu kamuacha gundogan ila sisi maflop pale tunabembelezana tuyani sitashangaa msimu ujao wakarudi wote tusiuze wala kuacha hata mmoja.
![]()
Hii team kazi ipo kwakweli, pre season itaanza utakuta hawajauza wala kununua kwa mambo yanavoenda
![]()







Huyo anamaliza na Chelsea sasa hiviMoises Caicedo in 2021: “My dream is to play for #MUFC, Antonio Valencia is an example to follow.”
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2668157View attachment 2668156
"Every time I wore a United shirt I felt so proud. Every time I walked into Old Trafford I was so proud to be a part of it." 🥹







Fred anauzwa 20M halafu Maguire anauzwa 40M hii dunia kweli ina maajabu yake😂😂😂Players who could leave Manchester United this summer
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2669296
Beki la Dunia nzimaFred anauzwa 20M halafu Maguire anauzwa 40M hii dunia kweli ina maajabu yake![]()