Ukitaka kujua kama tulipa treble ungerazama substitute yetu tulikuwa na wachezaji wa aina gani benchNyie pia ni wapumbavu tu
Mmeipa Man City trebble ya bure kabisa
Hakuna kwenye midfield ni Bruno na Casemiro tu ndiyo wenye nafuu.Japo di maria umri umeenda sidhani kama antony anafikia hata nusu ya uwezo wake kuna kroos modric etc
Lukaku simweki kwenye kundi la wachezaji.Vipi Lukaku mbona haujaleta uchambuzi wake na yeye ?
Ndugu yangu ,Timu atapewa Sir Jim , maana ni Chawa wa GrazzerQATAR.![]()
Gary Neville:
Leo umeamka vizuri sana unaandika point tupuBaada ya performance ya kutisha ya Onana, jamaa anasogea na mpira Kama Kiungo ,anapiga pass kwa miguu yote ,ilifika muda hakuna mchezaji wa city anayemsogelea
Sasa hivi kila mtu anamuona Degea Kama Ally Salim tu





