Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata hivyo pamoja na Performance yake timu nzima ya Inter inawachezaji serious sana.

Kikosi kizima cha Inter Milan kuna wachezaji wachache sana Man U wanaweza kusogelea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wa Inter Milan.

Ukimwangalia Denzen Dumfries halafu umlinganishe na Diogo Dalot ni mbingu na ardhi,

Nicolo Barrela huwezi kumweka Daraja la Fred na Mictominay.

Jana Marcelo Brozovic, Acerbi na Damian walitudundisha mtu mzima anatakiwa kufanya nini anapopewa kazi.
Kuna vijana walikuwa wakifanya kazi chafu Baston, Barella, na Hakan watu wenye workrate hii kikosini kwetu ni wanne tu. Bruno, casemiro, Martinez na Bissaka.

Kundi lililobaki ni watu ambao wanatakiwa kusubiri kama mwanaume aliyechoka waende kutoa support.

United inakabiliwa na tatizo la kutofanya usajili sahihi.
Vipi Lukaku mbona haujaleta uchambuzi wake na yeye ?
 
Japo di maria umri umeenda sidhani kama antony anafikia hata nusu ya uwezo wake kuna kroos modric etc
Hakuna kwenye midfield ni Bruno na Casemiro tu ndiyo wenye nafuu.

Safu ya ushambuliaji huko ndiyo hovyo kabisa.

Kwenye defence Martinez, Shaw, Lindelof na Bissaka wanastahili kuwa Man United, Varane ni mzuri ila kwa injury rekodi aliyonayo unahitaji mtu atakayekuwa fit msimu mzima kuziba hii changamoto
 
Ukimuangalia Onana ,halafu manjesta Kuna Degea

Dah unaamini Manjesta Kuna matatizo makubwa sana
 
Mimi ningekuwa fans wa manjesta ningepiga kelele , kwenye management

Pesa haijawahi kuwa tatizo kwa manjesta
IMG_20230611_221103.jpg
 
Unpopular opinion

Amad Dialo na Pelistri Wana uwezo mkubwa kuliko Anthony Santos wa €100m
 
Kikosi Bora cha Sajili za kitapeli

1.Erick Johora

2.Israel mwenda

3.Gadiel

4.Doumbia

5.Magwaya

6.Sawadogo

7.Sancho

8.Okwa

9 Werghost

10.Mudrky

11 Antony Santos

Sub

Cucurela
Ally Salim
Okra magic
Dejan


Kocha: 7 hag
Msaidizi: Mgunda
 
Garry Neville akili imeanza kumkaa sawa , alikuwa anamtetea Sana Degea

Baada ya kumuona Onana juzi, akili imemkaa sawa


Bado kwa Anthony kila mtu atakiri hapa tulipigwa


Gary Neville:


"You have to start with a goalscorer and a goalkeeper. Without those two positions, you are in big trouble. Manchester United are struggling in attack, but it's time to find a top goalkeeper. "


#MUFC
 
Baada ya performance ya kutisha ya Onana, jamaa anasogea na mpira Kama Kiungo ,anapiga pass kwa miguu yote ,ilifika muda hakuna mchezaji wa city anayemsogelea


Sasa hivi kila mtu anamuona Degea Kama Ally Salim tu
 
Back
Top Bottom