Na unaambiwa hatofanya subIla pep duu mfumo gani huu kaingia nao![]()
Nilichokisema hapa ndiyo EtH anavyoanza leo. Bruno kama winger ili kati kuwe na watu wa kazi.Mpira wa Ulaya ni uwezo na siyo umri. Ninachoona tu leo kocha anaweza kumuanzisha Bruno kama Winger kuongeza nguvu pale kati maana City eneo hilo ndiyo la kuwadhibiti.
Neti ina matoboKikosi kina tia faraja kidogo.View attachment 2644784
Hata mimi naogopa kuangalia mechi kati ya USM ALGER VS YANGA FC maana naelewa kitachomkuta Ndugu yangu, ila tutafanyaje sasa ilihali mapenzi ni upofu?Yani hadi naogopa kuiangalia mechi

Glory Glory Man Utd
Hata dk 1 haijaishaKipa mi Ortega kwa city kuna pazia hakuna kipa mle TUSHINDWE SISI TU
Umeshachomekwa endelea kujidanganyaKipa mi Ortega kwa city kuna pazia hakuna kipa mle TUSHINDWE SISI TU