Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna nafasi ya kuwapeleka wodin key players wa city

Vunja KDB
Vunja rodri
Wasicheze uefa final
Mwarabu kawahidi wakichukua treble, kila mchezaji anachukua Pound 2m.Na wale jamaa sasa hivi ni wa moto hawafai hata kukutana nao.
 
Kuna nafasi ya kuwapeleka wodin key players wa city

Vunja KDB
Vunja rodri
Wasicheze uefa final
Hata wakikosekana hao bado wanachuku UEFA, City ana watu hata viwango vya vinakaribiana. Wewe jiandae kupasuka tu leo Pep hana masihala round hii.
 
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester City 0 vs Manchester United 2

11:00 jioni
Wembley

Man City mnachocheza nacho hamkijui hakika kitawaramba

Pigaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaaaa
Chinjaaaaaaaa

GGMU

1685733632551.jpg
 
Nyie ng'ombe mkipata hata goli la kusawazisha niitwe nyau, nimekaa palee
 
Mpira wa Ulaya ni uwezo na siyo umri. Ninachoona tu leo kocha anaweza kumuanzisha Bruno kama Winger kuongeza nguvu pale kati maana City eneo hilo ndiyo la kuwadhibiti.
Nilichokisema hapa ndiyo EtH anavyoanza leo. Bruno kama winger ili kati kuwe na watu wa kazi.

Tuna jambo letu leo.
 
Back
Top Bottom