Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna kitu mashabik wengi wa manjesta hamkijui, Timu bado haijauzwa , halafu manjesta Wana limitation ya budget , ili umpate Kane kwa timu ya EPL unahitaji €150m ,nje ya EPL €100m .Ndio maana Kama Kane atabaki Basi itabidi asubiri msimu mmoja zaidi awe free.

Victor alinunuliwa na Napoli kwa€80m, so De laurentias kasema bila €134m hafanyi biashara.


Madrid wanasubiri tu Benzema aage ,wamalizane na Kane

Ugumu unakuja hapo
£ ni kubwa kuliko € . Usiogopeshwe na hizo figure ebu ziconvert kwanza uone ni ngapi?
USisahau pia Madrid wanakaribia kumtwaa Kai Haverts😃
 
Wachambuzii nguli mkadanganya watu kuwa Arsenal inaenda kudominate European football kwa miaka kumi ijayo
Amedangwanywa Nan? Arsenal anaenda ku dominate kwa muda mrefu ,hata hili nalo mpaka upigwe msasa ?

Arsenal have already blueprint of how to play

Average age ya players Ni 24 , na wanaoongezwa Ni 23-24

Akili yako inakutuma Arsenal amebahatisha kufika pale ,


Manjesta mpaka Sasa haijulikani inacheza aina gan ya mpira na tunaenda msimu mpya
 
£ ni kubwa kuliko € . Usiogopeshwe na hizo figure ebu ziconvert kwanza uone ni ngapi?
Najua ila top CF sokon walio tayari Ni Kane na Victor ,

Madrid anaondoka Benz , Option yao ya kwanza Ni Kane

Je Manjesta watambeba Nan Tena ?

Hojllund ana potential ya kuwa Bora huko mbelen
 
Mimi man u nasema ukweli leo tunakula kichapo
Manjesta wanacheza kusubiria miujiza ,wakishinda inshallah

Mfano mechi Vs Chelsea 4-1 , ingeweza kuisha hata 5-5

Manjesta alishinda ila alionesha udhaifu mkubwa

Mashabik maandaz hawaoni kwasasa ,wao wanakwambia 7 HAG anawapeleka nchi ya ahadi

Leo naziona 5-0
 
Manjesta wanacheza kusubiria miujiza ,wakishinda inshallah

Mfano mechi Vs Chelsea 4-1 , ingeweza kuisha hata 5-5

Manjesta alishinda ila alionesha udhaifu mkubwa

Mashabik maandaz hawaoni kwasasa ,wao wanakwambia 7 HAG anawapeleka nchi ya ahadi

Leo naziona 5-0

Wee leo Man U tunampasua mtu
 
Wee leo Man U tunampasua mtu
Mngekuwa mnaeleweka basis mnacheza aina ipi ningeamini

Kaangalie wale nominees wa kocha Bora wa mwaka EPL wote Wana Blueprint timu zao zinachezaje

Ndio maana sikushangaa kutomuona ETH ,

Kushinda nyie Ni sawa na ngamia kupita tundu la sindano


Yanga ana nafasi kubwa kushinda Algeria kuliko manjesta kushinda leo
 
Hii game tuangalie kwa kuburudika zaidi kuliko kutegemea makubwa tusije kuharibu siku yetu.
Ubora wa Pep,kuzoeana kwa timu pamoja na ubora wa mchezaji mmoja mmoja City wametuzidi sana. Sana sana hii game inatupa muelekeo wetu msimu ujao utakuaje maana 10 Hag ameanza kuizoea City baada ya game 2 na tunategemea aje na mwarobaini wa kumdhibiti walau kwa 60% ili msimu ujao akipata watu wake amalizane naye kwa 100%.
GGMU.
 
Gernacho mpange kwenye vimechi vidogo sio vs City.
Aliesababisha goli la ushindi game ya mwisho na city pale OT ni nani? Nani alimpiga chenga Ake,Akanji na Rodri(wote akawaacha) na kupenya mpaka golini akatoa assist kwa rashford tena ya tap in tu ambayo ata zuchu anafunga?? Game na barca pale OT je? Garnacho si alipewa pongezi kama zote kwa kukiwasha

Ficha ujinga wako
 
Hii game tuangalie kwa kuburudika zaidi kuliko kutegemea makubwa tusije kuharibu siku yetu.
Ubora wa Pep,kuzoeana kwa timu pamoja na ubora wa mchezaji mmoja mmoja City wametuzidi sana. Sana sana hii game inatupa muelekeo wetu msimu ujao utakuaje maana 10 Hag ameanza kuizoea City baada ya game 2 na tunategemea aje na mwarobaini wa kumdhibiti walau kwa 60% ili msimu ujao akipata watu wake amalizane naye kwa 100%.
GGMU.
7 hag Hana mbinu zozote za maana ,endeleeni kudanganyana tu

Niliwahi kusema humu anazidiwa mbinu na makocha wengi hapo EPL ,Mkanishambulia Sana


Juzi kwenye nominees wametajwa makocha 6 walewale niliosema 7 hag Hana uwezo kuwafikia

7 hag hata hajafikiriwa na jopo la FA


Ni kocha mbahatishaji Sana ,shida mnapumbazwa na matokeo



Nililisema hili Conte alipoingia top 4 akapewa na wachezaji anaowataka , Kelele zikawa nyingi atakuwa Title contender na Manjesta ,nilipinga vikali Sana

Kufika February, Conte na 7 hag wakaachana na kupigania ubingwa , wachambuzi wale wale wakasema Conte hakusapotiwa ,Mara 7 hag hajapata watu wake
 
Kwahiyo leo tunapishana na City au?
Huo ubavu ndugu zangu hamna , sio city tu ,timu kibao hamuwezi kupishana nazo

Sikuangalia mech yenu na Chelsea ila ambangile niliona anasema ingeweza kuisha hata 5-5 , bado mna madhaifu mengi , na Mimi naenda Moja kwa Moja kwa 7 HAG

Hadi Sasa haijulikani msimu ujao atakuwa Prime Conte au Mourinho
 
A Manchester City win in the FA Cup final today would secure #Arsenal’s place at Wembley for the community shield on August 6th.


Will be broadcasted on ITV 1.
 
Huo ubavu ndugu zangu hamna , sio city tu ,timu kibao hamuwezi kupishana nazo

Sikuangalia mech yenu na Chelsea ila ambangile niliona anasema ingeweza kuisha hata 5-5 , bado mna madhaifu mengi , na Mimi naenda Moja kwa Moja kwa 7 HAG

Hadi Sasa haijulikani msimu ujao atakuwa Prime Conte au Mourinho
Kama kawaida ya United leo tunakaa nyuma tukisubiri dk zetu. Hatuna wachezaji wa kuweza kucheza possessive football.

Man City ukiwakamata kwenye mid unapunguza nguvu yao. Tatizo letu kubwa ni kwenye eneo la ushambuliaji nafasi tutakazopata siyo nyingi hivyo ni lazima watu wawe clinical.

Garnacho na Sancho nawakubali kwenye kutengeneza nafasi na siyo wachoyo.

Tusubiri, muda ndiyo hakimu.
 
Back
Top Bottom