hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Huo ubavu ndugu zangu hamna , sio city tu ,timu kibao hamuwezi kupishana nazoKwahiyo leo tunapishana na City au?
Sikuangalia mech yenu na Chelsea ila ambangile niliona anasema ingeweza kuisha hata 5-5 , bado mna madhaifu mengi , na Mimi naenda Moja kwa Moja kwa 7 HAG
Hadi Sasa haijulikani msimu ujao atakuwa Prime Conte au Mourinho
kuna kina bayern wakuu arsenal..arsenal haya bana 
