£ ni kubwa kuliko € . Usiogopeshwe na hizo figure ebu ziconvert kwanza uone ni ngapi?Kuna kitu mashabik wengi wa manjesta hamkijui, Timu bado haijauzwa , halafu manjesta Wana limitation ya budget , ili umpate Kane kwa timu ya EPL unahitaji €150m ,nje ya EPL €100m .Ndio maana Kama Kane atabaki Basi itabidi asubiri msimu mmoja zaidi awe free.
Victor alinunuliwa na Napoli kwa€80m, so De laurentias kasema bila €134m hafanyi biashara.
Madrid wanasubiri tu Benzema aage ,wamalizane na Kane
Ugumu unakuja hapo
Amedangwanywa Nan? Arsenal anaenda ku dominate kwa muda mrefu ,hata hili nalo mpaka upigwe msasa ?Wachambuzii nguli mkadanganya watu kuwa Arsenal inaenda kudominate European football kwa miaka kumi ijayo![]()
Najua ila top CF sokon walio tayari Ni Kane na Victor ,£ ni kubwa kuliko € . Usiogopeshwe na hizo figure ebu ziconvert kwanza uone ni ngapi?
Manjesta wanacheza kusubiria miujiza ,wakishinda inshallahMimi man u nasema ukweli leo tunakula kichapo
Manjesta wanacheza kusubiria miujiza ,wakishinda inshallah
Mfano mechi Vs Chelsea 4-1 , ingeweza kuisha hata 5-5
Manjesta alishinda ila alionesha udhaifu mkubwa
Mashabik maandaz hawaoni kwasasa ,wao wanakwambia 7 HAG anawapeleka nchi ya ahadi
Leo naziona 5-0


Mngekuwa mnaeleweka basis mnacheza aina ipi ningeaminiWee leo Man U tunampasua mtu![]()
Mvumilieni tu maana hata nyie mlitia kambi kwenye uzi ya Arsenal mwezi mzima mlikuwa mnatukera piaJamaa anakera sana.

Acha kusapoti utoto na upuuzi sawa,hiki anachofanya huyo boya ni mambo ya kijinga.Mvumilieni tu maana hata nyie mlitia kambi kwenye uzi ya Arsenal mwezi mzima mlikuwa mnatukera pia
Hamisi piga kazi kaka![]()
Dua zangu Alejandro Gernacho 49 aanze over sanchoMimi dua zangu namuombea Fred na Sancho waamke na form nzuri ili tuweze kukabiliana na City bila uoga wowote.
Aliesababisha goli la ushindi game ya mwisho na city pale OT ni nani? Nani alimpiga chenga Ake,Akanji na Rodri(wote akawaacha) na kupenya mpaka golini akatoa assist kwa rashford tena ya tap in tu ambayo ata zuchu anafunga?? Game na barca pale OT je? Garnacho si alipewa pongezi kama zote kwa kukiwashaGernacho mpange kwenye vimechi vidogo sio vs City.
7 hag Hana mbinu zozote za maana ,endeleeni kudanganyana tuHii game tuangalie kwa kuburudika zaidi kuliko kutegemea makubwa tusije kuharibu siku yetu.
Ubora wa Pep,kuzoeana kwa timu pamoja na ubora wa mchezaji mmoja mmoja City wametuzidi sana. Sana sana hii game inatupa muelekeo wetu msimu ujao utakuaje maana 10 Hag ameanza kuizoea City baada ya game 2 na tunategemea aje na mwarobaini wa kumdhibiti walau kwa 60% ili msimu ujao akipata watu wake amalizane naye kwa 100%.
GGMU.


Huo ubavu ndugu zangu hamna , sio city tu ,timu kibao hamuwezi kupishana nazoKwahiyo leo tunapishana na City au?
Mpira wa Ulaya ni uwezo na siyo umri. Ninachoona tu leo kocha anaweza kumuanzisha Bruno kama Winger kuongeza nguvu pale kati maana City eneo hilo ndiyo la kuwadhibiti.Gernacho mpange kwenye vimechi vidogo sio vs City.
Kama kawaida ya United leo tunakaa nyuma tukisubiri dk zetu. Hatuna wachezaji wa kuweza kucheza possessive football.Huo ubavu ndugu zangu hamna , sio city tu ,timu kibao hamuwezi kupishana nazo
Sikuangalia mech yenu na Chelsea ila ambangile niliona anasema ingeweza kuisha hata 5-5 , bado mna madhaifu mengi , na Mimi naenda Moja kwa Moja kwa 7 HAG
Hadi Sasa haijulikani msimu ujao atakuwa Prime Conte au Mourinho