Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona chacha mmekubali nyinyi ni mid table club wapinzani wenu mnawafahamu khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hahahaha Naona watu hamjui Sarcasm na hamna sense of humor. Ungeisoma hiyo article vizuri ungejua niliwakejeli "badala ya kushinda walitoka draw". Next time Someni kwa zaidi ya macho mawili. Najua sometimes Sarcasm haiji vizuri katika maandishi

Was that sarcasm or a banter?
 
1898006_10153870803420002_1745820948_n.jpg
 
Manure: Weak, Incompetent & Embarrassing, It's Almost Time For Mo No To Go

Paul Gunning said:
''We've had our share of lows this season but Saturday's loss to Stoke plummeted to new depths. Things need changing - surely we've been patient long enough?''

''Hearing Arsenal and Chelsea sticking up for our under-fire manager was a bitter pill but should we be worried about Moyes cracking under the spotlight?''


Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee




Screen-Shot-2014-02-12-at-13.53.59-480x329.png



Manure: Pressure's Getting To Mo No As He Teeters On The Brink


Maure: Pressure's Getting To MoNo As He Teeters On The Brink

Manure fans have, over the years, become expert at spotting cracks in the armour of rival managers. While not necessarily able to pin-point the exact weakness ourselves, once our previous manager had exposed his prey's Achilles heel, we were able to sit back and revel in his downfall, ticking off the signs of madness as they appeared. Fungie was the doyen of the dark-arts, whilst being seemingly immune to them himself. Thus, one after another, he drove his foes into the abyss, leaving them twitching in his wake.


Kevin Keegan was the first notable victim of Fungie's rare gift, and has arguably never quite recovered from the ordeal, his descent into the darkness now a part of football folklore. Seeing a generally likeable fellow ranting and raving like a lunatic on national television was, at first, hilarious, until we realised that the poor man was experiencing an actual breakdown before our very eyes. Keegan's hair almost visibly greyed and his skin took on the pallid hue of a man deep in the throes of a life-sapping consumption, as the cameras rolled. Furngie, for his part, simply shrugged his shoulders with the nonchalant air of a man brushing a speck of dust off his suit, and continued to overturn what had seemed an insurmountable twelve point deficit, to win yet another title.


Then there was Rafael Benitez, and his famous rant about facts, complete with hand-scrawled notes and barely repressed, eye-bulging fury. United fans rejoiced in the spectacle, having recognised the symptoms of an increasingly disturbed mind in the Spaniard for weeks, leading up to this magnificent crescendo. Once again, with Benitez still bouncing off the walls, Fungie was able to lead his team to victory in the title race.Prof. has hardly been immune either, though he has suffered a slower undoing over many years, rather than a sudden disintegration. Indeed, Fungie seems to have got so deep under the Frenchman's skin that the fear of failure now haunts his every move and infects his teams with a famous fragility. There have been others, including players, officials and members of the media, too great in number to list exhaustively here, each and every one of their downfalls a victory for United fans to savour, despite the sympathy occasionally felt at the hapless victim's discomfort. So we are as well placed as anyone to spot a man teetering on the brink of collapse, which is why David MoNo' press conference, yesterday, made for such uncomfortable viewing. Now, the likes of Morinyo and Prof are expressing sympathy and support for the manure manager, which is a deeply unpleasant experience, given our preference for seeing others squirming under the spotlight.


Many of us have been voicing our concerns for weeks about our new manager's mental state. Indeed, I have written in these pages of my sympathy for the Scot. He has looked increasingly wretched; the lines on his face resembling the contours on a map; his eyes taking on the expression of a gazelle seeing, too late, with a mixture of horrified resignation and mortal fear, a lion poised to pounce a few paces away. His skin is drawn and his mouth is set in a constant grimace, as he has flitted between prowling the touchline like a man possessed and slumping disconsolately in his dugout with his head in his hands.
Moyes' utterances, while remaining outwardly defiant, have appeared increasingly desperate since the turn of the year, when an already difficult season began to unravel with frightening speed. If anything, the pure, unfettered joy that the Scot clearly felt upon signing Juan Mata has made the situation even worse, as his, and our, expectations, having been raised, now lie in tatters once again. Perhaps it is all a cunning ruse. Perhaps MoNo is trying out a new demeanour, to see how it fits; the glassy stares, prickly silences and abrupt departure of yesterday's press-conference the new face of a man inwardly seething at his current predicament and determined to show his displeasure to the watching world.
Perhaps MoNo has been studying some of his predecessor's more terse dealings with the press, and has decided to try his hand at similar. Perhaps. Yet furngie was a master of manipulation, who always appeared to be in complete control. MoNo, unfortunately, looks more like a man doing battle with the type of inner demons that can be desperately difficult to destroy.


Come on you little fly .... .... .... ..... ...... ..... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Some with goons' pukes on #ManUnited thread.....

Do you expect objective arguments from a goon about DM? You must be a nutty, if you do so.

If someone calls a specialist in failure, a professor, he really needs to see Aaron Beck, world famous psychiatrist.

Oh! Wait a minute, I guess Wenger is a professor of failure. If he has specialised in failure for 8 years; I guess, he is the guru in failure. He needs to be given a Nobel Prize on Failureology.
 
Walau kidogo nafarijika kuona rumours za david moyes kuweza kuwa replaced na van gaal after world cup.,to me moyes has overstayed in man utd
 
Nobody is bigger than Manchester united except. Rooney signs 5yrs contract worth up 300,000 Britishpound a week . 300K British pound a week? Rooney ni mtaalamu kinoma, baada ya miaka 3 na nusu atatingisha kiberiti tena afu watamuongezea mshahara.
 
Nobody is bigger than Manchester united except. Rooney signs 5yrs contract worth up 300,000 Britishpound a week . 300K British pound a week? Rooney ni mtaalamu kinoma, baada ya miaka 3 na nusu atatingisha kiberiti tena afu watamuongezea mshahara.

Juzi mlikuwa mnashangilia kuwa Rooney ataondoka now kaongeza mkataba mmegeuka tena,football ni pesa ndio maana Etoo alienda Anzi,Falcao akaenda Monaco,Bayern wanaitesa Dortmund sababu ya pesa .Kwa workrate ya Rooney anastahili 300k,anakaba anatengeneza na anafunga magoli
 
Juzi mlikuwa mnashangilia kuwa Rooney ataondoka now kaongeza mkataba mmegeuka tena,football ni pesa ndio maana Etoo alienda Anzi,Falcao akaenda Monaco,Bayern wanaitesa Dortmund sababu ya pesa .Kwa workrate ya Rooney anastahili 300k,anakaba anatengeneza na anafunga magoli

Sikubaliani na wewe kama anastahili pesa zote hizo. Pamoja na kuwa ni mchezaji mzuri kati ya karibia wote ndani ya Old Trafford sidhani kama ni haki kulipwa pesa zote hizo na staili anayotumia kulipwa huo ujira hauweki picha nzuri si kwa management bali hata kwa wachezaji wengine. Inaonyesha ni jinsi gani management isivyokuwa na ubavu dhidi ya Rooney na Rooney analijua hilo tangu mwaka ule alipotingisha kiberiti kwa mara ya kwanza. Management ikizidi kumpigia mchezaji mmoja magoti itashitukia wachezaji wengine wakiiga mfano wa kudai nyongeza za ujira pindi wakiwika msimu mmoja au miwili au wakijickia kuwa hakuna mchezaji mwingine anayeweza kuziba mapengo yao na mwisho utakuwa mbaya. Subiri Rooney akifikisha miaka 30 au 31 atadai nyongeza nyingine.
 
Sikubaliani na wewe kama anastahili pesa zote hizo. Pamoja na kuwa ni mchezaji mzuri kati ya karibia wote ndani ya Old Trafford sidhani kama ni haki kulipwa pesa zote hizo na staili anayotumia kulipwa huo ujira hauweki picha nzuri si kwa management bali hata kwa wachezaji wengine. Inaonyesha ni jinsi gani management isivyokuwa na ubavu dhidi ya Rooney na Rooney analijua hilo tangu mwaka ule alipotingisha kiberiti kwa mara ya kwanza. Management ikizidi kumpigia mchezaji mmoja magoti itashitukia wachezaji wengine wakiiga mfano wa kudai nyongeza za ujira pindi wakiwika msimu mmoja au miwili au wakijickia kuwa hakuna mchezaji mwingine anayeweza kuziba mapengo yao na mwisho utakuwa mbaya. Subiri Rooney akifikisha miaka 30 au 31 atadai nyongeza nyingine.
Kwa situation ilivyo sasa kumpoteza Rooney ingekuwa big loss kwa Man United,kumbuka sio rahisi kupata mchezaji dizaini ya Rooney anaijua EPL vizuri kumbuka amenunuliwa Kagawa lakini still bado anasuasua,kama mchezaji kiwango kikiongezeka anastahili kutingisha kiberiti na klabu kama inamtaka lazima itamuongezea kama Liverpoll walivyomuongezea mkataba Suarez Huu ni almost msimu wake wa 10 na still yupo kwenye form.
 
Sikubaliani na wewe kama anastahili pesa zote hizo. Pamoja na kuwa ni mchezaji mzuri kati ya karibia wote ndani ya Old Trafford sidhani kama ni haki kulipwa pesa zote hizo na staili anayotumia kulipwa huo ujira hauweki picha nzuri si kwa management bali hata kwa wachezaji wengine. Inaonyesha ni jinsi gani management isivyokuwa na ubavu dhidi ya Rooney na Rooney analijua hilo tangu mwaka ule alipotingisha kiberiti kwa mara ya kwanza. Management ikizidi kumpigia mchezaji mmoja magoti itashitukia wachezaji wengine wakiiga mfano wa kudai nyongeza za ujira pindi wakiwika msimu mmoja au miwili au wakijickia kuwa hakuna mchezaji mwingine anayeweza kuziba mapengo yao na mwisho utakuwa mbaya. Subiri Rooney akifikisha miaka 30 au 31 atadai nyongeza nyingine.

yaani wapinzani kweli hamna maana man wakiwa na akina valenica na cleverley mnasema hawastahili kuchezea man u leo wamepambana kumbakisha rooney anayestahili mnasema analipwa hela nyingi...
 
yaani wapinzani kweli hamna maana man wakiwa na akina valenica na cleverley mnasema hawastahili kuchezea man u leo wamepambana kumbakisha rooney anayestahili mnasema analipwa hela nyingi...

we acha tu sijui wanafikiri angeenda man city au chelsea angelipwa pound 50,000 kwa wiki??? Rooney is a defender,midfielder,striker rolled into one....he is our symbol now....when you see rooney you see manchester united.
 
we acha tu sijui wanafikiri angeenda man city au chelsea angelipwa pound 50,000 kwa wiki??? Rooney is a defender,midfielder,striker rolled into one....he is our symbol now....when you see rooney you see manchester united.

they cant see it,what they can see ni kwamba anaipwa hela nyingi ila hela hiyo akilipwa ronaldo wanakwambia ni stahiki yake coz anafanya kazi kubwa na anaisaidia sana timu.
 
rubaman angalia Gary Neville alichosema

"Talking about Wayne Rooney and the money he is signing for, the question you have to ask is how much does it cost to replace him?" said Neville.
"The market now is demanding. For a player who has scored the goals that he has scored in his ten years at United, you would be talking £50, £60million.
"I think from that point of view, the market forces that you have to pay the player what it would cost to replace him."
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom