Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Thanks Moyes ni bora kufungwa na Timu Nyingine zote sio Arsenal wangeongea sana mwaka mzima. Hongera De Gea kwa kutuweka mjini.

Glory Glory Man Utd. usiku mwema wadau
 
Ila sio mbaya mwaka huu "tawi letu" limetupa points 4 kati ya 6 rubaman
 
Last edited by a moderator:
Wenga anamchezesha giroud wakati mtu mwenyewe kavaa kandambili uwanjani badala ya viatu,,,
Giroud ovyo sana.
 
Thanks Moyes ni bora kufungwa na Timu Nyingine zote sio Arsenal wangeongea sana mwaka mzima. Hongera De Gea kwa kutuweka mjini.

Glory Glory Man Utd. usiku mwema wadau

Kweli chifu. Ni bora kufungwa goli 100 na Fulham kuliko kufungwa goli 1 na goons.....

Ila inasikitisha sana jinsi Rooney alivyoshindwa kupeleka pasi za kufunga kama mara 2 hivi...leo hakuwa fit....

Matokeo haya naamini yataipa morali timu sasa...Loserfools ni kama anaelekea kung'ang'aniwa na Fulham hapa....ila Spuds wameshinda 4-0, hivyo nafasi ya UCL inakuwa balaa hapo....
 
Full time, Arsenal 0-Man Utd.

No comment. By the way my team is and always Man Utd.

WE WILL WALK ALONE.
 
Acha kujipendekeza. Arsenal walipigwa tano na a very very good team.

Don't take credits from Liverpool kwa kuibamiza Arsenal bao tano.

Man Utd wame-draw tena nyumbani kwake na timu inayoshika mkia.

hata hivyo, you can neither compare Liverpool and Fulham nor Man Utd's current form and Arsenal.

Hakuna hatua yoyote waliyopiga.

Hahahaha Naona watu hamjui Sarcasm na hamna sense of humor. Ungeisoma hiyo article vizuri ungejua niliwakejeli "badala ya kushinda walitoka draw". Next time Someni kwa zaidi ya macho mawili. Najua sometimes Sarcasm haiji vizuri katika maandishi
 
Acha kujipendekeza. Arsenal walipigwa tano na a very very good team.

Don't take credits from Liverpool kwa kuibamiza Arsenal bao tano.

Man Utd wame-draw tena nyumbani kwake na timu inayoshika mkia.

hata hivyo, you can neither compare Liverpool and Fulham nor Man Utd's current form and Arsenal.

Hakuna hatua yoyote waliyopiga.

Lol leo naona hata kule kwingine account yako itakuwa activated

Kule itakuwa off hadi tubebe Kombe kama anavyofanya mshikaji wa liverpool LoL
 
Dah afadhali kidogo tumepata point moja maana hivi vijamaa vingeshangilia kama vile vimechukua world cup.,ila to be honest arsenal walideserve kushinda mechi ya leo na pia
 
This is Man United worst season in two decades and Arsenal can't beat them, ...LOL!!!
 
Dah! Leo RvP angekuwa na goli 2 hapa...dah!

Young naona anataka kuingia hapa....dk ya 80....

mkuu umeonaje game nahisi kama kocha angemswitch position rooney kwa mata ili atawale dimba alafu sub ya mata angetoka valencia aingie janu,nahisi ingekuwa sub nzuri zaidi tungebadilisha aproach ya mechi maana hivi vitoto vilikuwa vimetushika kati pale...
 
Back
Top Bottom