Si ndio sehemu pekee yakwenda kula pensionKwamba Neymar hataki kusikia club nyingne zaidi ya Mufc?






wanaolaumiwa Ni Grazzer 


We jamaa kweli pimbi Man City away results against top 9 kashinda kwa Arsenal pekeake7 hag Ni Tapeli aiseeView attachment 2641328
Ila ukuu wa Mungu ni wa ajabu sana hapa ubingwa wajabeba wana kelele hivi wangebeba je acheni Mungu aitwe Mungu.Si ndio sehemu pekee yakwenda kula pension
Unadhani timu gani inayojielewa inayotaka kazi kazi itamchukua neymar ?
Mchezaji ambaye madoido mengi , injury za kutosha
Kama manjesta waliweza kumnunua yule Anthony wa €35m kwa €100m why Neymar asione manjesta ndio sehemu pekee ya kwenda kujichotea pesa za bwerere





Usiempenda kaja
Dalot kasaini mitano tena....
Kwasasa Ben10 anatazamia kumchezesha striker View attachment 2641724
Kuna thread nimeona twitter Bruno kacheza zaidi ya dakika 5000 msimu mzima.Hawezi kuwa pale juu kuna mechi baadhi alikuwa anatoka tofauti na De Gea ambae yeye akiingia ni mpaka kipenga cha mwisho.
Wewe ndio tapeli kipindi cha Ole utd ilikuwa inashinda ugenini na kupoteza nyumbani huu ulikuwa ni udhaifu mkubwa kufungwa mbele ya mashabiki wako ni kama kuwakosea heshima Ten hag kaondoa huu udhaifu sasa subiri msimu ujao aanzee kushinda za ugenini uone kama atakamatika.7 hag Ni Tapeli aiseeView attachment 2641328
Muache afate steps za mo Salah ,de bruyneMAJOR BREAKING:
#mufc have agreed personal terms with Mason Mount and are now expected to sign the Chelsea midfielder.
[@TelegraphDucker]
Chief-Mkwawa neno tafadhali
DEJAN7
Darmian
N.k
Vipi source yake inauhakika lkn??View attachment 2642028
Tukumbuke hii habari imeandikwa na mtaalamu james ducker.
Sijui ETH anachofikiria mkuu ila nimeona wadau wamasema pengine ETH ameshaachana na FDJ na tunaenda kucheza na 8 wawili kwa maana ya 4-3-3 ama mfumo mwengine wa Midfield 3. Tupo linked pia na Rabiot. Tunaye Casemiro ambaye anacheza bila tatizo single pivot.MAJOR BREAKING:
#mufc have agreed personal terms with Mason Mount and are now expected to sign the Chelsea midfielder.
[@TelegraphDucker]
Chief-Mkwawa neno tafadhali
DEJAN7
Darmian
N.k