hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,641
Thus why naamini hapa Tz wachambuz 99% Ni waganga njaa na bendera fata upepo
Mwanzo wa ligi walisema Manjesta n Chelsea watakuwa title contender pamoja na Spurs
Sababu zao Conte aliongezewa wachezaji aliowataka na Manjesta wameleta wchezaji wanaowataka kupitia 7hag plus bajeti ya €250m
Na Chelsea kutumia €300m summer tu
Ni Mimi mchambuzi nguli nilijitokeza kusema hadharani
Spurs kwa mpira wa janja janja atakwenda na maji ,Yalipotokea wale wale wachambuz uchwara wakasema Conte hakuwa supported
Chelsea kwa usajili wa ku hijack deals za watu bila kuzingatia profile husika za wachezaji na style ipi Wanataka wacheze watatumbukia shimoni
Manjesta ya 7 hag haitakuwa title contender sababu sijawahi kuona in morden football game kwa mpira huu anaocheza manjesta timu ikawa kwenye title run, kufika March Manjesta wakatupa Taulo

NAONA TENA WACHAMBUZI WALE WALE WAMEANZA NGONJERA ZAO
Mwanzo wa ligi walisema Manjesta n Chelsea watakuwa title contender pamoja na Spurs
Sababu zao Conte aliongezewa wachezaji aliowataka na Manjesta wameleta wchezaji wanaowataka kupitia 7hag plus bajeti ya €250m
Na Chelsea kutumia €300m summer tu
Ni Mimi mchambuzi nguli nilijitokeza kusema hadharani
Spurs kwa mpira wa janja janja atakwenda na maji ,Yalipotokea wale wale wachambuz uchwara wakasema Conte hakuwa supported
Chelsea kwa usajili wa ku hijack deals za watu bila kuzingatia profile husika za wachezaji na style ipi Wanataka wacheze watatumbukia shimoni
Manjesta ya 7 hag haitakuwa title contender sababu sijawahi kuona in morden football game kwa mpira huu anaocheza manjesta timu ikawa kwenye title run, kufika March Manjesta wakatupa Taulo


NAONA TENA WACHAMBUZI WALE WALE WAMEANZA NGONJERA ZAO
wanaolaumiwa Ni Grazzer 
