Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,413
- 2,358
Kwa sasahivi mimi nataka watu watakaokuja kutupa uhakika wa ushindi. Hata akija mtu ana miaka 70 kama anaweza kutupia inavyotakiwa sina tatizo. Timu itakuwa inajengw kidogokidogo na wakati huohuo mashabiki nasi tukifurahia ushindi.
Hivi mashabiki wa Manchester tutapa akili lini? Walahi mtu unauliza kane hata tufanyua nini kisa umri?
Sancho bado mdogo tu amna kitu.
Martial tulimchukua toka kinda mpaka leo amna kitu.
Rashford bado mdogo tu lakini wa kuungaunga.
Yani mtu unataka vijana wenye wana flop mimi walete kane tu hata kama hatasaidia msimu mmoja sio mbaya kuliko tunachukua vijana wadogo lakini bure kabisa.
Forward yetu ya sasa ni makinda matupu lakini amna kitu kabisa.

4:00 usiku
old Trafford

The BOSS! 🫡





It’s expected that the preferred bidder for #mufc will be announced in the next 48 hours.
️
️
BREAKING: #mufc have joined the race to land Declan Rice. Erik ten Hag wants to bolster his midfield ahead of next season and believes Rice can add steel and energy to his team.
#MUFC have asked about Benfica’s position regarding Goncalo Ramos.
