Hapa ntaamini Ten Hag hayuko serious na project yakeHuyu mason mount wa nini?
Muandishi Samuel mokbel amenikata stimu
Operation ni kuifilisi MANCHESTER part twoHapa ntaamini Ten Hag hayuko serious na project yake
Kama wanamchukua labda £30M
Ruud van Nistelrooy leaves PSV Eindhoven with immediate effect.





Wachezaji wanaonunuliwa kuuza jezi au kocha anaowataka?United ndy timu inayoongoza kwa spending EPL nzima unataka wamiliki watoe makalio yao ndy wanunulie wachezaji mnaowataka?
Mtakufa na presha.Hapa ntaamini Ten Hag hayuko serious na project yake
Kama wanamchukua labda £30M
Wamesha Sahau ya Sergio RamosMtakufa na presha.
Na akili yako timamu unadhani kila mchezaji anaeusishwa na Man Utd anatakiwa kweli.?
Are you that stupid enough to believe any rumours?

Huyu ni david ornstein ameandika muda huu. Ornstein ni gwiji kwa pale uingerezaMtakufa na presha.
Na akili yako timamu unadhani kila mchezaji anaeusishwa na Man Utd anatakiwa kweli.?
Are you that stupid enough to believe any rumours?
Vyanzo vya kuaminika vinareport hii habariMtakufa na presha.
Na akili yako timamu unadhani kila mchezaji anaeusishwa na Man Utd anatakiwa kweli.?
Are you that stupid enough to believe any rumours?
Ukishakuwa na waingereza kuanzia 4 na kuendelea ndani ya kikosi,sahau kuhusu work rate ya timu kuwa juu kulingana na mahitaji ya kocha kama 10hag.Huyu kocha kwa wachezaji hawa anaowataka hana tofauti na Moyes au Sosha
Mimi mpaka nione mwelekeo wa team kuuzwa ndio nitafatilia zaidi kuhusu hizi tetesi, vyanzo vingi vinasema usajili unasubiri mwelekeo wa club kwanza, though kuna sources za uhakika unakutana nazo, kama issue ya Rabiot n.kMtakufa na presha.
Na akili yako timamu unadhani kila mchezaji anaeusishwa na Man Utd anatakiwa kweli.?
Are you that stupid enough to believe any rumours?
Hivi mashabiki wa Manchester tutapa akili lini? Walahi mtu unauliza kane hata tufanyua nini kisa umri?Bado tunataka kujaza watu wa 30 kwenye kikosi kane wa nini sasa? tuchukue vijana damu inachemka mimi kane hapana ni mshambuliaji mzuri sana lakini hapana sisi sio sehemu ya watu kuja kumalizia mpira wao.