Tukitoboa mniue..kule Chelsea kuna watu wawili hatari sana.. Madueke na Mudryik. Hawa jamaa huwa wanatokea benchi leo wameanzishwa.Kosi leo limewai kweli kuvuja.
#MUFC XI: De Gea, Wan-Bissaka, Varane, Lindelöf, Shaw, Casemiro, Eriksen, Antony, Bruno, Sancho, Martial.![]()
Umeona kitu anataka kufanya huyu kocha wetu? Ngoja tuone.Mechi ya leo ilitakiwa tuweke mabeki tupu tupate uhakika wa cl mwakani ili liverkuku akacheze europa huko
Huko UCL utachezaje na huo uchafu wa wachezaji?? Hivi Antony na tumiguu twake kama chelewa mbwa yule pamoja na mjinga mwenzake Sancho unategemea jipya kweli? Naumia sana hii timuMechi ya leo ilitakiwa tuweke mabeki tupu tupate uhakika wa cl mwakani ili liverkuku akacheze europa huko
Man hu atashinda hii mechi acha kupaniki. Akishashinda uje inbox mwenyewe ujisalimishe na erufu mbiriHuko UCL utachezaje na huo uchafu wa wachezaji?? Hivi Antony na tumiguu twake kama chelewa mbwa yule pamoja na mjinga mwenzake Sancho unategemea jipya kweli? Naumia sana hii timu
MECHI USHINDI HIIUmeona kitu anataka kufanya huyu kocha wetu? Ngoja tuone.
Ndy umeandika Nini? Mimi nasemea kikosi chetu sio kizuri kwenda kucheza UCL it's better tusingeshiriki mashindano makubwa mwakani tujenge timu kwanza kuliko kwenda kutia aibu kubwa huko, unapigwa nje ndani na Brighton harafu unataka ushiriki UCL kweli?Man hu atashinda hii mechi acha kupaniki. Akishashinda uje inbox mwenyewe ujisalimishe na erufu mbiri
UCL ni zaidi ya kuwa na timu nzuri. Hizo timu hazipo kukufurahisha wewe shabiki bali kufanya business. UCL ni sehemu ya business inayoingiza pesa.Ndy umeandika Nini? Mimi nasemea kikosi chetu sio kizuri kwenda kucheza UCL it's better tusingeshiriki mashindano makubwa mwakani tujenge timu kwanza kuliko kwenda kutia aibu kubwa huko, unapigwa nje ndani na Brighton harafu unataka ushiriki UCL kweli?
Na sasa kafanya wa 3 msengerema huyu.Dakika ya 15 sasa..nadhani mnaoangalia mpira mmeshaona ujinga woote wa Martial.
Usimfananishe mayele na ujingaKwani Mayele na Martial nani mkali?
Nilikosea kukwoti mkuuNdy umeandika Nini? Mimi nasemea kikosi chetu sio kizuri kwenda kucheza UCL it's better tusingeshiriki mashindano makubwa mwakani tujenge timu kwanza kuliko kwenda kutia aibu kubwa huko, unapigwa nje ndani na Brighton harafu unataka ushiriki UCL kweli?