Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kosi leo limewai kweli kuvuja.

#MUFC XI: De Gea, Wan-Bissaka, Varane, Lindelöf, Shaw, Casemiro, Eriksen, Antony, Bruno, Sancho, Martial.
Tukitoboa mniue..kule Chelsea kuna watu wawili hatari sana.. Madueke na Mudryik. Hawa jamaa huwa wanatokea benchi leo wameanzishwa.

Mechi mbili hizi tunahitaji point 1 tufuzu uefa lakini kwa Sancho na Martial!!! TUTAPATA TABU SANA.
 
Man hu atashinda hii mechi acha kupaniki. Akishashinda uje inbox mwenyewe ujisalimishe na erufu mbiri
Ndy umeandika Nini? Mimi nasemea kikosi chetu sio kizuri kwenda kucheza UCL it's better tusingeshiriki mashindano makubwa mwakani tujenge timu kwanza kuliko kwenda kutia aibu kubwa huko, unapigwa nje ndani na Brighton harafu unataka ushiriki UCL kweli?
 
Ndy umeandika Nini? Mimi nasemea kikosi chetu sio kizuri kwenda kucheza UCL it's better tusingeshiriki mashindano makubwa mwakani tujenge timu kwanza kuliko kwenda kutia aibu kubwa huko, unapigwa nje ndani na Brighton harafu unataka ushiriki UCL kweli?
UCL ni zaidi ya kuwa na timu nzuri. Hizo timu hazipo kukufurahisha wewe shabiki bali kufanya business. UCL ni sehemu ya business inayoingiza pesa.
 
Ndy umeandika Nini? Mimi nasemea kikosi chetu sio kizuri kwenda kucheza UCL it's better tusingeshiriki mashindano makubwa mwakani tujenge timu kwanza kuliko kwenda kutia aibu kubwa huko, unapigwa nje ndani na Brighton harafu unataka ushiriki UCL kweli?
Nilikosea kukwoti mkuu
 
Back
Top Bottom