Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeenda UEFA..
Screenshot_20230525_225222_All%20Goals.jpg
 
UCL ni zaidi ya kuwa na timu nzuri. Hizo timu hazipo kukufurahisha wewe shabiki bali kufanya business. UCL ni sehemu ya business inayoingiza pesa.
Unanishangaza sana hivi unafahamu Kombe lenye thamani kubwa kwa ngazi ya vilabu ni FA cup? Sasa kwanini vilabu visiwekeze nguvu zao kwenye FA bali heshima ya timu yoyote duniani ni kubeba UCL na Wala sio suara la business
 
Back
Top Bottom