KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,770
- 4,393
Ngoja tuone ripoti ya madaktar itakuaje kama ni injury kubwa tutapata tabu sanaKabisa kwa style ya uchezaji wa city Antony angefaa sana kuwakimbiza.
Ngoja tuone ripoti ya madaktar itakuaje kama ni injury kubwa tutapata tabu sanaKabisa kwa style ya uchezaji wa city Antony angefaa sana kuwakimbiza.
Yaaani sijui ETH atumie mbinu gani ila tutabondwa sana ata hii angekua city angekua na 4-0 saivi umalizia wa Jini Tap-in marchant lisingekosa nafasi za mudryk,havertz wanazokosaIla tuache utani kwa mpira huu tunaocheza city hatatuua iyo fainal ya FA.
Taja team yako na useme mwenyewe ilitokaje pale tofali za kuchoma OTLeo kopo na mfuniko wanacheza.
Acha maneno yako mbona city alimfunga moja tu.Leo kopo na mfuniko wanacheza.
City amepumzisha team Kwa ajili ya fA na uefaAcha maneno yako mbona city alimfunga moja tu.