Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,104
- 53,606
Upo sahihi.Mkuu mimi nina mtazamo tofauti kidogo.
Naamini tumepiga hatua ingawa si nyingi kama tulivyotarajia.
Mzunguko wa pili tulikuwa tunaongelea habari ya ubingwa.Mambo yalianza kwenda ndivyo sivyo baada ya red card ya Casemiro na kuumia kwa Lisandro,Varane & Martial.
Tuna hitaji wachezaji 4 au 5 tu ili tuweze kukimbizana na City.Mlinzi wa kati,Kiungo na mshambuliaji wa kati.Tunaweza kuongeza mlinzi upande wa kulia na mshambuliaji kulia.
Team kwa mara ya kwanza imejitahidi ingawa bado kidogo.Tuna hitaji kuondoa magarasha yote na nafasi zao kuzibwa na wachezaji sahihi.
Tumpatie Mwl muda na zaidi ya yote tushukuru Mungu top four ipo ndani ya uwezo wetu.
Tungekuwa na majembe kwenye zile key areas sahivi tungekuwa kwingine kabisa.

