Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mimi nina mtazamo tofauti kidogo.

Naamini tumepiga hatua ingawa si nyingi kama tulivyotarajia.

Mzunguko wa pili tulikuwa tunaongelea habari ya ubingwa.Mambo yalianza kwenda ndivyo sivyo baada ya red card ya Casemiro na kuumia kwa Lisandro,Varane & Martial.

Tuna hitaji wachezaji 4 au 5 tu ili tuweze kukimbizana na City.Mlinzi wa kati,Kiungo na mshambuliaji wa kati.Tunaweza kuongeza mlinzi upande wa kulia na mshambuliaji kulia.

Team kwa mara ya kwanza imejitahidi ingawa bado kidogo.Tuna hitaji kuondoa magarasha yote na nafasi zao kuzibwa na wachezaji sahihi.

Tumpatie Mwl muda na zaidi ya yote tushukuru Mungu top four ipo ndani ya uwezo wetu.
Upo sahihi.

Tungekuwa na majembe kwenye zile key areas sahivi tungekuwa kwingine kabisa.
 
Hii timu kama atapewa mwarabu naamini msimu ujao utakua ni wamafanikio makubwa, ila kama timu itaendelea kubaki kwa Wamarekani Mambo yatabaki kua vilevile tu. View attachment 2629103
Mipango ya usajili inatakiwa iwe imeshaanza sahivi. Na tushaanza kusaini.

Ila mpaka sasa hatujui kama hao Glazers watauza au la.

Mchakato ni mrefu kidogo hata kama Glazers wakisema wanauza leo. Ambapo mafanikio ya kweli tuyafikirie baada ya msimu ujao.

Sio msimu ujao.

Tuanze kuwaza kuuza wachezaji wa kawaida kwanza. Tukimaliza kusafisha tuwaze makubwa zaidi.
 
Me too mkuu.
Kule tunaenda kujikatisha tamaa tu. Ni heri tungeweka mipango ya makombe ya ndani kwanza kabla hatujawa vizuri kugombea UCL.
 
Huyu Guardiola adhibitiwe akiachwa atafika rekodi za United na kuvunja zingine .
Mpaka sasa

United Epl 13
City Epl 7
Chelsea Epl 5
Arsenal Epl 3
Liverpool Epl 1

Anaifanya Epl farmer's league
2018: Manchester City
2019: Manchester City
2020: Liverpool
2021: Manchester City
2022: Manchester City
2023: Manchester City
 
Liverpool wameachana na Oxlade,Naby,Bobby na babu Milner mapema tu..

Sisi bado tunaendelea kufuga tu mafurushi yasiyo na msaada wowote.
Apa ndio huwa nawaambia united fans wapunguze expectations zao ukiona timu inakuwa na wachezaji wale wale walioshindwa kubadilika kwa muda mrefu na hakuna mpango wa kuwaondoa ni ngumu kufanikiwa...yaan ni ngumu kufanya mabadiliko hakuna project yyt mfano mzuri degea n old skul haendani na mpira wa kisasa lakn anakula mkataba mrefu na ataendelea kuwa kipa namba 1 dadeki. PUNGUZENI MATARAJIO MAKUBWA SISI MAN U BADO SANA..
 
Man u iwe km yanga, ifukuze wachezaji kumi na ilete wachezaji quality 9. Kane, Kim min Jae, firmpong, de Jong, raya GK, chiesa, caicendo au DM, holljuld striker back up, na Greenwood km nyongeza
 
Hii sheria bado ipo hai?
Je haaland ataadhibiwa?
Chief-Mkwawa
1684770472610.png
 
Back
Top Bottom