Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,352
Aisee jana Newcastle walikuwa kwenye kiwango bora sanaMwanangu vijana wa Ammex stadium wamepigwa kama ngoma..
Newcastle wa moto balaa.
Aisee jana Newcastle walikuwa kwenye kiwango bora sanaMwanangu vijana wa Ammex stadium wamepigwa kama ngoma..
Newcastle wa moto balaa.
Sure, uzuri mpinzani hayupo kwenye hatari ya kushuka daraka ana point 39 ambazo hazifikiwa na bottom 3.Mechi ya kesho ni kupambana kufa na kupona.Nafasi ya nne ni muhimu kuliko kitu chochote.
Lakini Hadi tunakuwa hivi ninini kiketukumbaSure, uzuri mpinzani hayupo kwenye hatari ya kushuka daraka ana point 39 ambazo hazifikiwa na bottom 3.
Kesho usishangae wakakushangaza maana hii timu mechi za ugenini ni kibonde kweli.Mechi ya kesho ni kupambana kufa na kupona.Nafasi ya nne ni muhimu kuliko kitu chochote.










Mkuu majeruhi hukuyaona?Liva akipigwa tu tuna uhakika uefa,ila hii sio sawa kabisa kusubiri mpaka mwisho wa msimu ,next time Ten hag asilete huu ujinga.
Baada tu ya kuchukua carabao timu inacheza chini ya kiwango
Majeruhi alikua Ericksen tu,wengine ilikua sio kiivo,labda zile card za CasemiroMkuu majeruhi hukuyaona?
Goli tamu sana hilo, unaweza hata kulia na ugali.
Ten Hag zile Sub zake za kipuuzi zilinifanya nikapoteza matumaini kabisa.Liva akipigwa tu tuna uhakika uefa,ila hii sio sawa kabisa kusubiri mpaka mwisho wa msimu ,next time Ten hag asilete huu ujinga.
Baada tu ya kuchukua carabao timu inacheza chini ya kiwango