Huyo msimu ukiisha atafute team her abaki sabtizerHii sub ya weghost inaenda kutupotezea point zote tatu...Ten hag sijui hajifunzi na hili jamaa lake daaah
Acha ujuaji ww sio kocha acha kocha afanye kazi yake ata akimtoa case akaingia zuchu au nandy yupo sawaHii sub ya weghost inaenda kutupotezea point zote tatu...Ten hag sijui hajifunzi na hili jamaa lake daaah
Sancho wangemuuza hata £40m + £20m add-ons (individual & team performances)Garnacho in for Sancho...
Nadhani huyu dogo ndio atamfukuza Sancho kwenye hii timu.
Liver kasawazishaQualified for CL
1 point needed. Ila Liverpool wana dk 10 za kurudisha matumaini zaidi.Qualified for CL
Wameshinda njaaLiverpool wanashinda hii game yao
Bado ngoma mbichi tukipigwq game zote 2 zilizobak liva wakashinda yao 1 ni patupuHivi leo ndo tumefuzu uefa? Je tutaweza na timu tia maji hii et martial na warghost ndo washambuliaji
Mkuu mimi nina mtazamo tofauti kidogo.Tunamaliza ligi huku tukiwa tumeshindwa kufikia standard ya manchester city kimpira japo kwa asilimia 60.
Hii ina maana ya kwamba msimu ujao tutaendelea na maisha ya kubana korodani kwa kila mechi tutakayoiangalia.
Huo ni utabiri wangu
Unapotaka kupambana na manchester city, hatua ya kwanza ni kufikia level yake ya kiuchezaji, Arsenal wameikaribia hatua hii.
Tunafanya makosa mengi, mengi, mengi sana tukiwa ndani ya uwanja.