Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liva akipigwa tu tuna uhakika uefa,ila hii sio sawa kabisa kusubiri mpaka mwisho wa msimu ,next time Ten hag asilete huu ujinga.

Baada tu ya kuchukua carabao timu inacheza chini ya kiwango
Ten Hag zile Sub zake za kipuuzi zilinifanya nikapoteza matumaini kabisa.
Msimu ujao akipata wachezaji wazuri huenda tukabeba kombe lolote la maana ukiachana na Carabao.
 
GGMU
Screenshot_20230520_181817_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom