Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fabrizio Romano: “Harry Kane is #mufc’s number one target for striker. Victor Osimhen is also on the list.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230522_212613_975.jpg
 
Well ill be damn, wanamuuza huyu bwana halaf takataka zingine zinabaki seriously?
Utakuwa ni upuuzi mkubwa Dunia ya football hakuna right beki inakaba kama Bisaka sasa unamuuzaje badala ya kumuacha awe kama backup yaani akiondoka huyu halafu tukutane na mawinga aina ya Mitomy tumekwisha tutashikilia moyo mwanzo mwisho.
 
Kwa nini tusimchukue Dusan Vlahovic? Juventus wamepunguziwa alama 10 mpaka muda huu (85') tayari ameishachezea rungu 3 kutoka kwa Empoli wapo nafasi ya 7. Hawatakuwa na champions league msimu ujao watajaribu kupunguza gharama za uendeshaji ikiwemo kuuza baadhi ya wachezaji pamoja na kupunguza mishahara na posho.
 
Back
Top Bottom