Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vingi sana kwan ww unaifananisha man u na Madrid kwa vitu vipi mkuu?....kwanza timu haina mvuto wa kuwapata hao wachezaji wote ulio wataja labda baadhi tu
Katika wachezaji wote niliotaja wote ni average players wanaweza kusajiliwa na timu yoyote na bajeti zao siyo kubwa sana.
Pia wanatoka kwenye timu ndogo sana kulinganisha na Man U.
 
Just imagine dirisha la usajili linafunguliwa.
Unaenda pale Spurs unabeba Haryy Kane, Son na Emile Hojberg, then unaenda Inter Milan unabeba Nicolo Barrela na Francesico Accerbi na Denzen Dumfries unaenda Bundesliga pale RB Liepzig unabeba Josko Gvardiol na David Raum then unaenda RB unaenda Salzburg unabeba Benjamin Sesko. Unarudi EPL unaenda Soton unaokota Romeo Lavia na Pale Westham unaenda kumchukua Lucas Paqueta.

Then unarudi OT unamrelease, Anthony Martial, Weghorst, Eriksen, Brandon William's, Phil Jones, Eric Bailly,

Then unamuuza Fred, Mc Tominay anaenda Westham kwa exchange na Paqueta, unamuuza kwa mkopo Anthony,Unauza Maguire, Malacia unampeleka kwa mkopo Ac Milan.

Then unaenda sasa preseason tour USA.

Kujiandaa na ligi.
Then unaenda Liverpool unabeba Milner
Keita
Vvd
Henderson
Ox
Na Saint Anne kama kifungashio
 
Just imagine dirisha la usajili linafunguliwa.
Unaenda pale Spurs unabeba Haryy Kane, Son na Emile Hojberg, then unaenda Inter Milan unabeba Nicolo Barrela na Francesico Accerbi na Denzen Dumfries unaenda Bundesliga pale RB Liepzig unabeba Josko Gvardiol na David Raum then unaenda RB unaenda Salzburg unabeba Benjamin Sesko. Unarudi EPL unaenda Soton unaokota Romeo Lavia na Pale Westham unaenda kumchukua Lucas Paqueta.

Then unarudi OT unamrelease, Anthony Martial, Weghorst, Eriksen, Brandon William's, Phil Jones, Eric Bailly,

Then unamuuza Fred, Mc Tominay anaenda Westham kwa exchange na Paqueta, unamuuza kwa mkopo Anthony,Unauza Maguire, Malacia unampeleka kwa mkopo Ac Milan.

Then unaenda sasa preseason tour USA.

Kujiandaa na ligi.
Ukimaliza hapo unakimbia kama mwehu mpaka simba unambeba Onyango na Bocco

Then unapaaa mpaka pale Congo unamchukua Didier kavumbagu
 
Matajiri wame shindwa ku update ata facilities sio hayo matofali ya kuchoma ya toka 90's
Ndiyo tatizo letu kubwa lakini wachezaji niliotaja ni Harry Kane tu ndiyo anaweza kuwa Price tag ya 100.

Wengine 50, 30, 40.
 
Ten Hag atakuwa na kila aina ya winger. Kazi kwake.

Amad, Pellistri, Sancho, Antony, Rashford, Garnacho, Greenwood & Elanga.
Amad bora aendelee kukaa huko huko azidi kupata game time.

Kurudi united na kuendelea kutotumika itakula kwake. Atasugua benchi.

Kuna wachezaji wa kuondoka United kama huyo Elanga hata kwa mkopo waende.

Tuna mizigo ya kuimwaga baharini.
 
Just imagine dirisha la usajili linafunguliwa.
Unaenda pale Spurs unabeba Haryy Kane, Son na Emile Hojberg, then unaenda Inter Milan unabeba Nicolo Barrela na Francesico Accerbi na Denzen Dumfries unaenda Bundesliga pale RB Liepzig unabeba Josko Gvardiol na David Raum then unaenda RB unaenda Salzburg unabeba Benjamin Sesko. Unarudi EPL unaenda Soton unaokota Romeo Lavia na Pale Westham unaenda kumchukua Lucas Paqueta.

Then unarudi OT unamrelease, Anthony Martial, Weghorst, Eriksen, Brandon William's, Phil Jones, Eric Bailly,

Then unamuuza Fred, Mc Tominay anaenda Westham kwa exchange na Paqueta, unamuuza kwa mkopo Anthony,Unauza Maguire, Malacia unampeleka kwa mkopo Ac Milan.

Then unaenda sasa preseason tour USA.

Kujiandaa na ligi.
Huo usajili wako utakuwa umepewa £ 1 billion.
 
Fan base ya Man U ni kubwa kuliko Madrid, utajiri wa Man U unalingana na Madrid
Watu wanaangalia mafanikio uwanjani.

Madrid wapo kwenye league yao peke yao.

Tuache kwanza kujilinganisha nao.

Tupambane kuangushe ufalme wa Man City kwanza. Tukimaliza ndo tuhamie Madrid.
 
Watu wanaangalia mafanikio uwanjani.

Madrid wapo kwenye league yao peke yao.

Tuache kwanza kujilinganisha nao.

Tupambane kuangushe ufalme wa Man City kwanza. Tukimaliza ndo tuhamie Madrid.
Man City siyo mfalme ila amekuwa consistent tu kimafanikio.
 
Back
Top Bottom