Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,751
- 5,623
Huyu kocha keshakuwa kichaa huyuPep na Hawa wengine wanatofatiana point ngapi.
Kocha mfalme ni yule ambaye hawezekani. Je pep hawezekani?
Hapa Sina wa kubishana naye.
Mwalimu ambaye anafungika, wakaiwa tu.
Arteta angeweka gepu kubwa tungeongea mengine.
Fergie alifungika, aliteseka pia. Pep ni kocha wa kawaida sana. Kwa wenye kumbukumb pep anaangalia timu ya kufundisha, kwanza uwepo mkwanja. Barca, Munich Bayen nk wanapesa, asingeifundisha united, wabahili.
United wakati David Gili, sio kama Ed Woodward


Erik ten Hag has spoken to Adrien Rabiot in recent weeks to try and convince him to choose a move to #MUFC. With Rabiot a free agent this summer, United want to get a deal finalised as soon as possible. [L’ÉQUIPE]







" width="" height="" />