Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Yes bila shaka akisajili hata nusu ya niliotaja hapo atakuwa kwenye nafasi kubwa sana ya kupigania ubingwaTen Hag ameshasema ameanza kupanga timu yake kwa msimu ujao.
Kazi kwa owners.
Yes bila shaka akisajili hata nusu ya niliotaja hapo atakuwa kwenye nafasi kubwa sana ya kupigania ubingwaTen Hag ameshasema ameanza kupanga timu yake kwa msimu ujao.
Kazi kwa owners.
Msimu ulioisha alitugonga 4 akaja kutunga Home msimu huu kachukua point zote 6 inauma sana kama haitoshi tumemfunga goli 1 tu mechi zote 4 cjui 3 tulizochezaBrighton ni hatari mno.
Ndo ufalme wenyewe mpaka PEP aondoke pale EPL itakua tayar farmer leagueMan City siyo mfalme ila amekuwa consistent tu kimafanikio.
Ndo ufalme wenyewe mpaka PEP aondoke pale EPL itakua tayar farmer league
Msimu huu wababe sanaMsimu ulioisha alitugonga 4 akaja kutunga Home msimu huu kachukua point zote 6 inauma sana kama haitoshi tumemfunga goli 1 tu mechi zote 4 cjui 3 tulizocheza
Kama haitoshi alimtoa liva FA kwa kibano cha 4 hakuamini akambaka 3 tena Liva hakuamini
Leo kamdinya aseno nyingi tu wakati huo city wamechukua point zote 6 kwa brighton
Hawa jamaa inabidi tukutane nao tuwachape hata 4 heshima irudi mahala pake
Duh hivi hili limeshakuwa tatizo Sugu pale United ?#mufc are pushing to sign Adrien Rabiot on a free transfer, he is an important target for Erik ten Hag. He has been able to have had exchanges with the midfielder.
Acha ushabiki maandazi dogo wewe unaongelea mambo ya past miaka 90 uko Mufc na aseno walibeba makombe kama yote coz ilikua ndo prime yao ya kutamba na Mm naongelea currently ambapo city ndo mfalme kama unabisha peleka team yako waipige 6 tena au peleka ndugu zako Arsenal wapigwe 4 tena au maadui zako Liva wapigwe 4 tena pale EtihadSio mfalme dogo janja
Ufalme unapimwa na wingi wa mataji
Sasa karejee kujua mfalme wa EPL ni timu gani ukipata jibu njoo tena kutuhabarisha
Sio pep tuu aliyeifanya EPL farmers league.. mmesahau fergie enz ya utawala wake??Ndo ufalme wenyewe mpaka PEP aondoke pale EPL itakua tayar farmer league
Acha ushabiki maandazi dogo wewe unaongelea mambo ya past miaka 90 uko Mufc na aseno walibeba makombe kama yote coz ilikua ndo prime yao ya kutamba na Mm naongelea currently ambapo city ndo mfalme kama unabisha peleka team yako waipige 6 tena au peleka ndugu zako Arsenal wapigwe 4 tena au maadui zako Liva wapigwe 4 tena pale Etihad
Tunaposema mfalme sio kutamba kwa team kubwa tu bali kubeba makombe PEP kabeba EPL kama zote,FA ndo balaa na sasa anaenda kupiga zote kwanza J5 anamkaanga madrid
Najua unaumia lakini Wape Maua yao
..
Sio pep tuu aliyeifanya EPL farmers league.. mmesahau fergie enz ya utawala wake??
Sikia dogo Kuna point ukifika ukaacha kuangalia mpira kama shabiki na kuangalia kama mwanasoka utaacha kuumia kwa mafanikio ya team pinzani..Ila ukiendekeza ushabiki utabaki ivyoivyo kuhesabu makombe ya miaka 90 ambapo ulikua bado ujazaliwa nakwambia hivi PEP kaongeza Mkatabaka wa miaka 10 utaumia sana mdogo anguDogo janja rudi tena kwenye mada husika
Alafu uliza kwa watu nani ni mfalme wa EPL
Ili tukuite mfalme tunakuuliza maswali yafuatayo
Timu yako ina Fifa Club World Cup ngapi?
Timu yako ina UEFA Champions league ngapi?
Timu yako ina UEFA Super Cup ngapi?
Timu yako ina makombe ya EPL mangapi?
Timu yako ina makombe ya FA mangapi?
Timu yako ina Corabo Cup ngapi?
Timu yako ina Community shield ngapi?
Ndo ttzo la kizazi cha JK mnajifanya ujuaji mwingi kumbe hopeless Uyo Arsenane wako pia hayupo kwenye ufalme wa EPL kenge weee..
Ndio maana mashuleni kunasomo la historia sababu ya wapuuzi km nyinyi
Sikia dogo Kuna point ukifika ukaacha kuangalia mpira kama shabiki na kuangalia kama mwanasoka utaacha kuumia kwa mafanikio ya team pinzani..Ila ukiendekeza ushabiki utabaki ivyoivyo kuhesabu makombe ya miaka 90 ambapo ulikua bado ujazaliwa nakwambia hivi PEP kaongeza Mkatabaka wa miaka 10 utaumia sana mdogo angu
Haya toa povu



Man City hawezi kumtoa Mardid kwenye Champions League.Acha ushabiki maandazi dogo wewe unaongelea mambo ya past miaka 90 uko Mufc na aseno walibeba makombe kama yote coz ilikua ndo prime yao ya kutamba na Mm naongelea currently ambapo city ndo mfalme kama unabisha peleka team yako waipige 6 tena au peleka ndugu zako Arsenal wapigwe 4 tena au maadui zako Liva wapigwe 4 tena pale Etihad
Tunaposema mfalme sio kutamba kwa team kubwa tu bali kubeba makombe PEP kabeba EPL kama zote,FA ndo balaa na sasa anaenda kupiga zote kwanza J5 anamkaanga madrid
Najua unaumia lakini Wape Maua yao
..
Kwa kigezo gani?au umekariri maisha... J5 sio mbali utarudi hapa kufuta commentMan City hawezi kumtoa Mardid kwenye Champions League.
Elanga ni takataka.Ten Hag atakuwa na kila aina ya winger. Kazi kwake.
Amad, Pellistri, Sancho, Antony, Rashford, Garnacho, Greenwood & Elanga.
Pep na Hawa wengine wanatofatiana point ngapi.Sikia dogo Kuna point ukifika ukaacha kuangalia mpira kama shabiki na kuangalia kama mwanasoka utaacha kuumia kwa mafanikio ya team pinzani..Ila ukiendekeza ushabiki utabaki ivyoivyo kuhesabu makombe ya miaka 90 ambapo ulikua bado ujazaliwa nakwambia hivi PEP kaongeza Mkatabaka wa miaka 10 utaumia sana mdogo angu
Haya toa povu