Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sancho & Antony (£155m) ndiyo unampata Amad Diallo (£37m)
20230508_184421.jpg
 
Ila kushabikia mpira rahaa sana, ujakaa sawa mchezaji anafanya tukio linakucha mshangao...unadhani kocha kaona tukio, kabla ya muda unashangaa kocha nae anafanya tukio la kushangaza.

Unabaki kujiuliza au mimi ndo naangalia mpira tofauti? Ushabiki wa mpira Inarahaa yake kama hauna matokeo mfukoni.
 
Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta.

Hata hivyo hatuna striker tunategemea wide foward kama Rashford na Sancho, wakati mwingine wingers wanakuwa wamekabwa sana timu nyingi hazina wasi wasi wakicheza na sisi hatupati goals kupitia Angle C mara nyingi ni goals za pembeni kwa Rashford na Sancho au Anthony kiasi kulia.

Tuna striker mrefu lakini hatupigi cross kwa sababu ya uchoyo wa wide forwards wetu.

Sasa hivi ndiyo tunacheza on pure off vibes.
"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"

Hili sikubaliani kabisa na wewe, mechi nyingi tu hua zinapatikana nafasi kibao za kufunga lakini pale mbele anakosekana mtu ambae ni fundi wa kucheka na nyavu.
Hata takwimu za viungo pale England zinaonyesha Bruno ni miongoni mwa viungo waliotengeneza nafasi nyingi za mabao.
 
"Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta"

Hili sikubaliani kabisa na wewe, mechi nyingi tu hua zinapatikana nafasi kibao za kufunga lakini pale mbele anakosekana mtu ambae ni fundi wa nyavu.
Mbona umesema kitu kile kile nilichokisema mkuu ?
 
Back
Top Bottom