Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Glazers wajiongeze. Wakibaki next season yatafanyika maandamano makubwa sana.
Labda kama wana plan za kuwapoza mashabiki kwenye usajili.
Glazers wajiongeze. Wakibaki next season yatafanyika maandamano makubwa sana.








“Hakuna mahali pa kuficha. Ole Gunnar Solskjaer alikuwa na rekodi nzuri zaidi ya Ten Hag katika misimu yake miwili kamili akisimamia klabu, watu wanazungumza kuhusu maendeleo ambayo tumefanya na mtindo bora wa soka unaochezwa. United wamefika fainali ya Kombe la FA, wameshinda Kombe la Carabao na kufika mbali kwenye Ligi ya Europa kwa hivyo ni maendeleo, lakini Ten Hag kupoteza mechi nyingi za Premier League kuliko Solskjaer katika misimu ya 2019/20 na 2020/21. Matokeo hayajakuwa mazuri vya kutosha msimu huu, United wanaangalia juu ya bega lao na wanajaribu sana kushikilia nafasi ya nne, sina uhakika hapo ndipo klabu inataka kuwa."
"Huwezi kujificha katika mazingira haya, wachezaji na meneja wanahitaji kuwajibika. Ten Hag anapata sifa timu inapocheza vizuri, inabidi apokee ukosoaji pale anapokosea pia. Jambo la kukatisha tamaa katika uchunguzi wangu katika michezo ya hivi karibuni ni kwamba Manchester United hawajui jinsi ya kushinda, lazima kila wakati uwe na mchezo mzuri wa mpira wa miguu. Mara chache huwa tunashinda 1-0, soka sio kufunga mabao mengi, ni kupata matokeo na kuinua mikono yako katika baadhi ya michezo, kama mchezo wa West Ham"Grazzer dirisha lililopita si walitoa hela ya usajili €245m Kama sikoseiGlazers wajiongeze. Wakibaki next season yatafanyika maandamano makubwa sana.
Labda kama wana plan za kuwapoza mashabiki kwenye usajili.
1. Wameipa club deni. Kipindi wanainunua United ilikuwa haina deni.Grazzer dirisha lililopita si walitoa hela ya usajili €245m Kama sikosei
Mnataka watoe kiasi gani mseme kweli wametoa pesa? Kumbuka Kuna FFP, wage bills , operation cost
Angalia hii chart ya 2016-2020. United ndiyo timu ambayo wamiliki wake walichukua pesa nyingi zaidi kutoka kwenye club. £133m ilitolewa kama gawio. Everton wamiliki wake walitumia £348m kuboresha timu yao.Grazzer dirisha lililopita si walitoa hela ya usajili €245m Kama sikosei
Mnataka watoe kiasi gani mseme kweli wametoa pesa? Kumbuka Kuna FFP, wage bills , operation cost
Yani ukiona bench yetu imekaa Hiyo Ni championship team kabisaForward yetu ni butu butu.View attachment 2620347


hamis kaja kwa id nyingineGrazzer dirisha lililopita si walitoa hela ya usajili €245m Kama sikosei
Mnataka watoe kiasi gani mseme kweli wametoa pesa? Kumbuka Kuna FFP, wage bills , operation cost
Pep alipewa €500M na zaidi msimu wa kwanza akafumua kikosi chooote wewe 200M unauona ni pesa ya maanaGrazzer dirisha lililopita si walitoa hela ya usajili €245m Kama sikosei
Mnataka watoe kiasi gani mseme kweli wametoa pesa? Kumbuka Kuna FFP, wage bills , operation cost