Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unadhani kubeba treble ni kunya sio.

Yani hata fainali ya uefa bado mjafika mnawaza fainali small team mentality bwana.
Man Shitty viazi sana. 😂 Hawajamfunga Madrid tayari wanawaza treble.

Natamani sana Arsenal wafanye yao pale Etihad maana hivi vijamaa vimeanza kuota mapembe vinataka viharibu legacy ya SAF.
 
Haujanielewa, nimesema treble inatafutwa, kutafuta sio kupata.

Naona nyumbu mnawaza itakuwaje tukivunja hiyo rekodi yenu ya 1998/99

Rekodi zinawekwa ili zivunjwe na hii haiepukiki msimu huu.
Hamuwezi kuvunja record ya treble. Hilo nina uhakika 100%.

Kidogo Three-peat mna nafasi ila siyo treble.
 
wahuni walimaliza Paketi nzima ya DUREX kwa MIKOJO MITATU swaaaaaafi juzi tu,hakika binadamu wanasahau haraka
JamiiForums-1944129783.jpg
Screenshot_20230424-003049.jpg
 
Kuna watu wengine mna mambo ya hovyo sana, utani unavuka mipaka sasa huu sio uwanamichezo ni utahira. Shabiki wa mpira unawezaje kufanya mambo ya kijinga kama haya tena kwenye jukwaa ambalo sio lako.
Kunywa sumu UFE,habari ndio hiyo kwamba Paketi nzima ya DUREX ilitumika Spain juzi tu
 
Ipo siku MANCHESTER United watakuta makombe yote hayapo kwenye kabati jasusi la Dutch government litayaiba yote
 
Unadhani kubeba treble ni kunya sio.

Yani hata fainali ya uefa bado mjafika mnawaza fainali small team mentality bwana.
Lazma kijasho kiwatoke maana rekod yenu iko rehan


Treble TUNABEBA hutaki kashabikie volleyball.

Manchester is blue.
 
Yani treble yenu ya mashaka sana maana kwa Madrid hamtoboi, wahuni wanalitafuta la 15. Halafu pale Wembley ndiyo uwanja wetu wa mazoezi msimu huu.

Record pekee ya SAF mnaweza kuvunja ni Three-peat tu na yenyewe ni kwasababu Arsenal ni viazi tu.
Madrid ndio kikwazo kule, tukiweza kuwatoa wale vibwengo ndio basi tena,tunaenda zetu Istanbul kwenda kukabidhiwa mwali wetu, hapo tayari EPL na FA ziko kabatini.

TREBLE LOADING....
 
Hamuwezi kuvunja record ya treble. Hilo nina uhakika 100%.

Kidogo Three-peat mna nafasi ila siyo treble.
Yani Madrid ndio mmempa dhamana ya kuwalindia record yenu?
Sawa ngoja tumalizane na Arsenal halafu huyo Madrid hamtaamini macho yenu.

TREBLE LOADING....
 
Man Shitty viazi sana. Hawajamfunga Madrid tayari wanawaza treble.

Natamani sana Arsenal wafanye yao pale Etihad maana hivi vijamaa vimeanza kuota mapembe vinataka viharibu legacy ya SAF.
Madrid msimpe dhamana sana.
Hamtakiwi kuwa na stress kwa kuvunjiwa record, mnatakiwa mfurahi maana record inabaki jiji la Manchester.

Kuweni wapole .

TREBLE LOADING....
 
Wabisaka hiv mnamchukuliaje tatizo mashabik wengine mnafatilia mpira ukubwani pia sancho ni sio mchezaj mbovu mfumo tunaocheza n mbovu sancho anataka tucheze kucheza atujui ebu review Dortmund muangaliechyo kiumbe Anthony kwasbbu tumetoa 100 ndo mnaogopa pale tumepigwa

Et mpira ukubwani scholes kaanza kucheza mpira akiwa mtoto ila kashindwa kuwa kocha bora pamoja na kuanza mpira utotoni kifupi huna logic

Post vitu usomeke hata kama utachapia angalau sio kila sentensi

Ukiacha rashford mchezaj gani wa ushambuliaji kafikisha goli 9 za ligi? Sancho mchango wake upo wap hata assist 5 hana halafu unapigania ubingwa huo ubingwa unataka kuiba? Kazidiwa hadi na antony ambae ana msimu mmoja tu ndani ya Epl tena katoka uholanzi

Bissaka anaonekana mzur kwa kukaba kwa sababu ya kushambuliwa sababu gani zinapelekea tunashambuliwa sana? Ina maana sisi muda wote ni kushambuliwa tu ili bissaka acheze vipi kutengeneza nafasi za kufunga ana asaist ngapi? Nipe jibu hapa wewe ulienza kushangilia mpir toka utotoni

Bissaka ni mchezaj wa akiba ikiwa beki muhmu zote zitaumia tia akilini


Liverpool tunawazidi point 6 tu tena wapo kwenye msimu mbovu sana ni kwa nini tunawazidi point chache hivyo?

Ukiwekewa sancho na saka unachukua yupi? Weka ushabiki pembeni kisha tuambie

Ganacho na Greenwood wana umuhimu mkubwa sana mbele ya sancho pengine sancho alikuwa ni wa dortmund sio manchester united kwa pesa aliyosajiliwa alitakiwa hata awe na assist hata 5 tu tunaweza kusema kwa kuwa hajacheza sana hadi kocha anampeleka kupatiwa matibabu awe sawa kahurumiwa kipaji chake ina maana hata kocha hajajua kama dogo kaanguka ila ww unajua? Huo muda yupo nje nani anafanya kazi yake vyema kuziba pengo? Unakuta hata kumkumbuka ni ngumu kwa sababu awepo au asiwepo hana mchango


Tupo kitambo kwenye hili jukwaa sio wapya huwa tunakaa kimya

Hadi muda huu ukisema utaje wachezaj kumi bora wanaotokea pembeni epl sancho hatoki na cha ajabu unataka aendelee kuwepo kwenye timu ambayo kila msimu inatakiwa kushinda ubingwa

Pep alimuacha Sane na ferran Torres hao walikuwa hovyo?

Pep alimuacha sancho hakuoma kitu?

Timu bora huwa na wachezaj bora wa kukupa matokeo bora wakati wowote

Watu kama ww ndio mnaosababisha wakina martial kuendelea kuwepo pale na kufanya ujinga mkiamini kesho wataamka na umr unakwenda timu inakula chuma 7 kila uchwao

Hadi analetwa WOUT WEGHORST ina maana mbela hakuna namna tena

Gabriel Jesus anauzwa ananunuliwa halland huyo Jesus kuna mtu wa kumuweka bench pale united?

Tunazidiwa magoli had na newcastle halafu unataka masharobalo waendelee kuwepo kisa mpira unaujua toka utotoni kazi ipo

Akiumia tu rashford kwisha habar
 
Madrid msimpe dhamana sana.
Hamtakiwi kuwa na stress kwa kuvunjiwa record, mnatakiwa mfurahi maana record inabaki jiji la Manchester.

Kuweni wapole .

TREBLE LOADING....
Mimi nawapa dhamana Arsenal maana wao wakibeba EPL hamtaweza kuvunja record yoyote kati ya Three-peat au Treble. 😄

Mkifanikiwa kuvunja Three-peat bado Pep itabidi afanye hivyo mara 2 kama SAF.
 
Mimi nawapa dhamana Arsenal maana wao wakibeba EPL hamtaweza kuvunja record yoyote kati ya Three-peat au Treble.

Mkifanikiwa kuvunja Three-peat bado Pep itabidi afanye hivyo mara 2 kama SAF.
Arsenyau hapana kwa kweli, ni mara elfu City wavunje tu hio record ya SAF kuliko hizi Kima za Arteta kubeba Epl.
We fikiria tu Arsenyani baada ya kutufunga zile goli 3-2 waliitisha maandamano dunia nzima, sasa vuta picha wakifanikiwa kuchukua Epl si wanaweza kusababisha kutokea hata kwa III world war.
 
Arsenyau hapana kwa kweli, ni mara elfu City wavunje tu hio record ya SAF kuliko hizi Kima za Arteta kubeba Epl.
We fikiria tu Arsenyani baada ya kutufunga zile goli 3-2 waliitisha maandamano dunia nzima, sasa vuta picha wakifanikiwa kuchukua Epl si wanaweza kusababisha kutokea hata kwa III world war.

goli moja tu lilikuwa la akli la saka yale mawili papatu papatu ila wakaamdamana
 
Back
Top Bottom