Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio Timu hii ambayo juzi tu wahuni wa Sevilla walimaliza Paketi nzima ya DUME Condom kwenu kwa mikojo MITATU mubashara??kama ndio basi hakika Binadamu tumeumbwa kusahau mapema sana
 
Nyumbu hivi si mnajua treble inatafutwa?
Sasa nyie leteni kichwaboga magwaya wanaume tujipigie goli 8.
 
Nyumbu ukifa chini ya goli 3, nikatwe mkuyenge.

Ukifunga hata goli la offside tu, ningolewe koromeo.
 
Aibu nyingine za kujitakia tu, wewe timu inamtegemea mgaya magwaya ndio akamzuie haaland!!
Wangepita hata brighton angalau wangekufa 2 za heshima.
 
We're winning treble this season

Bankok cup
Carabao
FA cup

Na hakuna kitu mtafanya
Screenshot_20230423-214646.jpg
 
Msitegemee mtapewa goli la offside tena kama mlivyopewa ile game nyingine.

Bila figisu za webb, nyie ni ujiji fc.
 
Unadhani kubeba treble ni kunya sio.

Yani hata fainali ya uefa bado mjafika mnawaza fainali small team mentality bwana.
Haujanielewa, nimesema treble inatafutwa, kutafuta sio kupata.

Naona nyumbu mnawaza itakuwaje tukivunja hiyo rekodi yenu ya 1998/99

Rekodi zinawekwa ili zivunjwe na hii haiepukiki msimu huu.
 
chuma3 alisababisha yeye wewe sevila umemfunga lini mara ya mwisho
Mechi ya kwanza yeye ndiyo alijifunga goli la kizembe kabisa kwenye injury time tena OT. Kule Spain dk za mwanzo kabisa akachoma.

Mchezo wa mpira huwa unabadilika kulingana na matokeo. Goli la mapema liliwapa nguvu Sevilla.

Kama 2nd half ingekuwa 0-0 Sevilla wangecheza kwa kujilinda zaidi. Lile goli lilisababisha United nao wafunguke maana on aggregate ilikuwa 3-2 kwahiyo ni lazima utafute goli huku nyuma wakiacha beki ni Maguire, ilikuwa lazima tufungwe tu.

Pia mchezo wa kwanza yellow card ya Bruno ili-influence kilichotokea Spain, kwenye kiungo tulikosa mtengeneza nafasi.

Mwisho wa siku ndiyo football. Tumekubali tumefungwa.
 
Back
Top Bottom