Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,727
Hata tukifungwa mradi tutavaa medali mbili msimu huu sio mbaya. Msimu ujao tutoe wapuuzi timu iwe safii.

kama ndio basi hakika Binadamu tumeumbwa kusahau mapema sana

Fan wa Arsenyanus waliotelekeza jukwaa lao wanakuja na ID mpya kila siku kuficha aibu zao.Ndio Timu hii ambayo juzi tu wahuni wa Sevilla walimaliza Paketi nzima ya DUME Condom kwenu kwa mikojo MITATU mubashara??kama ndio basi hakika Binadamu tumeumbwa kusahau mapema sana
![]()
Bachelor ll Hanaga baya kabisaaa yeye anapita kila uzi na comment zake za kukera😀Kama naziona Kengez zilizotaka kushambulia kupoza mchungu yao yanavyouona huu uzi mchungu.
Kinumbo hamis77 Bachelor ll
Unadhani kubeba treble ni kunya sio.Nyumbu hivi si mnajua treble inatafutwa?
Sasa nyie leteni kichwaboga magwaya wanaume tujipigie goli 8.
Haujanielewa, nimesema treble inatafutwa, kutafuta sio kupata.Unadhani kubeba treble ni kunya sio.
Yani hata fainali ya uefa bado mjafika mnawaza fainali small team mentality bwana.

Mechi ya kwanza yeye ndiyo alijifunga goli la kizembe kabisa kwenye injury time tena OT. Kule Spain dk za mwanzo kabisa akachoma.chuma3 alisababisha yeye wewe sevila umemfunga lini mara ya mwisho![]()