Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio Timu hii ambayo juzi tu wahuni wa Sevilla walimaliza Paketi nzima ya DUME Condom kwenu kwa mikojo MITATU mubashara??[emoji1787][emoji1787]kama ndio basi hakika Binadamu tumeumbwa kusahau mapema sana[emoji1787][emoji1787]
Fan wa Arsenyanus waliotelekeza jukwaa lao wanakuja na ID mpya kila siku kuficha aibu zao.
 
Nyumbu hivi si mnajua treble inatafutwa?
Sasa nyie leteni kichwaboga magwaya wanaume tujipigie goli 8.
 
Nyumbu ukifa chini ya goli 3, nikatwe mkuyenge.

Ukifunga hata goli la offside tu, ningolewe koromeo.
 
Aibu nyingine za kujitakia tu, wewe timu inamtegemea mgaya magwaya ndio akamzuie haaland!!
Wangepita hata brighton angalau wangekufa 2 za heshima.
 
We're winning treble this season[emoji3526][emoji81]

Bankok cup [emoji736]
Carabao [emoji736]
FA cup[emoji352]

Na hakuna kitu mtafanya[emoji16][emoji16]
Screenshot_20230423-214646.jpg
 
Msitegemee mtapewa goli la offside tena kama mlivyopewa ile game nyingine.

Bila figisu za webb, nyie ni ujiji fc.
 
Unadhani kubeba treble ni kunya sio.

Yani hata fainali ya uefa bado mjafika mnawaza fainali small team mentality bwana.
Haujanielewa, nimesema treble inatafutwa, kutafuta sio kupata.

Naona nyumbu mnawaza itakuwaje tukivunja hiyo rekodi yenu ya 1998/99 [emoji28]

Rekodi zinawekwa ili zivunjwe na hii haiepukiki msimu huu.
 
chuma3 alisababisha yeye wewe sevila umemfunga lini mara ya mwisho[emoji848]
Mechi ya kwanza yeye ndiyo alijifunga goli la kizembe kabisa kwenye injury time tena OT. Kule Spain dk za mwanzo kabisa akachoma.

Mchezo wa mpira huwa unabadilika kulingana na matokeo. Goli la mapema liliwapa nguvu Sevilla.

Kama 2nd half ingekuwa 0-0 Sevilla wangecheza kwa kujilinda zaidi. Lile goli lilisababisha United nao wafunguke maana on aggregate ilikuwa 3-2 kwahiyo ni lazima utafute goli huku nyuma wakiacha beki ni Maguire, ilikuwa lazima tufungwe tu.

Pia mchezo wa kwanza yellow card ya Bruno ili-influence kilichotokea Spain, kwenye kiungo tulikosa mtengeneza nafasi.

Mwisho wa siku ndiyo football. Tumekubali tumefungwa.
 
uzuri n kwamba mmefurahia kudroo na Brighton ili mkacheze na man city fainali mpigwe goli za aibu tena kabla ya msimu kuisha[emoji3][emoji23][emoji23]View attachment 2597468
Mara ya mwisho City tulimpiga. Haaland alikuwa wa moto ila siku hiyo aliishia kuzurura tu akatoka bila on target dk 90.

Carabao pia kwa Newcastle mlisema hivihivi, mwisho wa siku wakala chuma 2. Brighton mkawasifia na Mitoma wao. Sasa hivi mmekuja na agenda nyingine.

WE MOVE!!!
 
Nyumbu hivi si mnajua treble inatafutwa?
Sasa nyie leteni kichwaboga magwaya wanaume tujipigie goli 8.
Yani treble yenu ya mashaka sana maana kwa Madrid hamtoboi, wahuni wanalitafuta la 15. Halafu pale Wembley ndiyo uwanja wetu wa mazoezi msimu huu.

Record pekee ya SAF mnaweza kuvunja ni Three-peat tu na yenyewe ni kwasababu Arsenal ni viazi tu.
 
Unadhani kubeba treble ni kunya sio.

Yani hata fainali ya uefa bado mjafika mnawaza fainali small team mentality bwana.
Man Shitty viazi sana. 😂 Hawajamfunga Madrid tayari wanawaza treble.

Natamani sana Arsenal wafanye yao pale Etihad maana hivi vijamaa vimeanza kuota mapembe vinataka viharibu legacy ya SAF.
 
Back
Top Bottom