Manchester United (Red Devils) | Special Thread

10Hugs alijibu kwa nyodo sana baada ya kile kikombe.

"Kwadrupo" my foot...
Huyu 7Jagi binafsi nimeanza kua na mashaka nae, kikubwa alichowazidi wengine waliomtangulia ni ile kupewa mamlaka kamili ya kua na amri juu ya wachezaji, ila nje ya hapo tokea amekuja sijaona chochote alichokiongeza kwenye timu.
Zile Sub zake za kipuuzi anazozirudia mara kwa mara zinanifanya nianze kukosa matumaini juu yake.
Wengi tulimuona ni shujaa/mkombozi kwa sababu tu ya ujasiri wake wa kuwapiga benchi kina Ronaldo na Maguire.
Laiti Liverpool na Chelsea wangekua bora na imara kama misimu miwili iliyopita hata hio top4 tusingeinusa.
 
Hivi umeona Dalot alichofanywa na Ocampos? Sawa hakucheza RB ila tu kiukweli Dalot ni average saana, mbavu zetu bado sana
 
s tulikubaliana ana kipara kama pep kwaio akili n zilezile
 
pole kijana
 

yamekua haya tena hongereni kwa carabao haya makombe mengine hamyaweziii
. Mnatuandama sana arsenal, sasa tumewatoa kafara kuanzia kesho ni winning hizi mechi 7 ni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…