GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 613
- 886
umelipia cha bei ganiChaneli 240 tunaburudika na kihabeshi
umelipia cha bei ganiChaneli 240 tunaburudika na kihabeshi
ndo nimeona hapa240 wanaonyesha
mental health is real broMkuu mbona unakosa lugha za staha na kuheshimiana kisa ushabiki wa mpira tu?
Halafu Bachelor ll anasema kuwa ni beki kisiki cha dunia .Harry Maguire anatugharimu sana
Wa compact hatupati240 Liyu Amharic
Anataka yqmkute kama kipindi like kuvamiwa na wahuni.Magwaya ni mpumbavu sana huyu jamaa ana utindio wa ubongo
Ujue jamaa kanishangaza, yaani unatokea tu huko unakuja matusi yote yale aisee, mental health nahisi ni tatizo kubwa sana hapa bongomental health is real bro
Magwaya anabebwa sana kwasababu ni muingereza ila huy jamaa hastahili kuwepo hata kwenye kikos bora apumzishwe kama jones ambae hajulikan Yuko wapiAnataka yqmkute kama kipindi like kuvamiwa na wahuni.
Businessumelipia cha bei gani
Uyo jamaa yenu hamalizagi mkataba maana toka enzi sa ferg yupo tu..na achezi ana kwa mkopoMagwaya anabebwa sana kwasababu ni muingereza ila huy jamaa hastahili kuwepo hata kwenye kikos bora apumzishwe kama jones ambae hajulikan Yuko wapi


@hamis77 pamoja na ushabiki wake wa kuiponda Man utd lakini hawezi kufikia upuuzi wa huyu jamaa.Ooh kumbe bwana hamis na new ID![]()