Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Siti ya mbele kabisa.

Brentford endeleeni kukanyaga kwenye kidonda.

Toney💥 Mbeumo💥
 
Nilishasema huyu kocha ni mjinga watu wakanitukanaa. Kile kikosi kilichotupa aibu kwa Newcastle ndio amelazimisha kianze hicho hicho..ni Whergost pekee kabadilishwa na Sancho.
Ulitaka acheze nani?

Sema mapema kabla mechi haijaanza, sio baadae nilisema nyiiingi!
 
Nilishasema huyu kocha ni mjinga watu wakanitukanaa. Kile kikosi kilichotupa aibu kwa Newcastle ndio amelazimisha kianze hicho hicho..ni Whergost pekee kabadilishwa na Sancho.
Huna kocha baba

Acha kimbelembele kuzurula majukwaa ya watu kupost TABLE ,
 
Dalot??

Sancho??

McTominay +Sabitzer??
Ukimuuliza kocha Fred anafanya nini kule nje sijui atajibu nini, jinga kabisa. Hao watoto wa kizungu hapo kati hawapawezi, ubaguzi tu. Last match Sabtzer alichemsha vibaya sio wa kurudishwa leo.
 
Betia man u hafu stake high.View attachment 2577717
Really bro?
20230102_224007.jpg
 
Video : Marcus Rashford goal Vs Brentford (1-0)


️: Rashford
: Sabitzer
 
Back
Top Bottom