Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten Hag mbaguzi sana wa rangi. Hawa watoto wa kizungu hapo katikati wanatuchomesha sana.
 
kwa mistakes wanazofanya Newcastle hii game mnaweza kushinda kweupe...kipind cha kwanza wamekosa nafasi za wazi nyingi sana
 
Kocha mjinga huyu..yaani watu wa kutuokoa ni Sancho na Martial. Nimecheka kweli.
 
Back
Top Bottom