D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Mechi mbili dhidi ya newcastle united na crystal palace zilitosha kuwaondoa arsenal kwenye mbio za top 4, hawa wapumbavu wa tottenham kumbe wametukalia vibaya namna hiyo.Naomba pia kuchukua nafasi ya ndugu ARV
Hapo unaweza kuona title contender ana GD ya 6 wakati Top four contenders wana 43+
Ukinuna uwe na sababu
Nileteeni eriksen kabla ya jua halijazama
Premier League - GW29
New Castle
Sun, Apr 2, 𝟙𝟠:𝟛𝟘
St. James' Park




Bruno Fernandes has played 90 minutes in every Premier League game he's been available for this season (25/26) 
