D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Yule bwana mdogo alipaswa awe namba 10 kuliko kuwa winga wa kulia.Ile kazi ya kukaba anayoifanya Anthony haiwezi kufanywa na Bisaka halafu Pellistri akafanya kazi ya kusukuma mipira kwa Ghost Letu pale mbele?
Hata mngepumzika mwaka mzimaWalikuwa na accuracy ya 87.5% kwenye mashuti yao langoni mwetu.
Lakini unaisemea vipi hali ya uchovu wa mechi nyingi mfululizo pamoja na mabadiliko ya kikosi cha kwanza mechi hadi mechi kwenye kile kipigo?
Sio kwa chuki kwa gunners pamoja na mpira mzuri wanaocheza leo hii binafsi sijashawishika kama ni suala endelevu kuwakuta wakiwa juu misimu 2 mfululizo kama ilivyo kwa city na liverpool. Kwa msimu huu ubora wa city umeshuka na liverpool ndio kama unavyoona tena.Nilibahatika kuangalia mechi ya arsenal dhidi ya manchester city kwa kipindi kimoja usiku ule.
Nilichojifunza ili uwe na uhakika wa kumdhibiti adui yako ni lazima uwe na uwezo wa kupambana naye jino kwa jino wakati wowote,
ni nyuma tu hapo arsenal alikuwa anakula goli 3 mpaka 5 kwa mechi dhidi ya manchester city na hata liverpool
Naisubiria mechi yao ya pili ya marejeano, kama arsenal wataweza tena kwenda head to head na manchester city kimpira basi rasmi nitamweka mikel arteta katika kundi hili:
Top 3 zenye uwezo wa kuadhibiana muda wowote kimpira.
- Manchester city
- Liverpool
- Arsenal
Kimatokeo hata spurs anamfunga sana manchester city
Asante mkuu,nimeishapata CHERRY 1 inanitosha.Hata mngepumzika mwaka mzima
Bado tungewapiga nje ndani.
Karibu seven up Mkuu.View attachment 2548054
Ungejua ndio kwanza vijana wako na average ndogo ya umri usingeandika huu utopoloSio kwa chuki kwa gunners pamoja na mpira mzuri wanaocheza leo hii binafsi sijashawishika kama ni suala endelevu kuwakuta wakiwa juu misimu 2 mfululizo kama ilivyo kwa city na liverpool. Kwa msimu huu ubora wa city umeshuka na liverpool ndio kama unavyoona tena.
Wameimarika lakini hawajafikia kiwango cha hao wawili,falsafa yao ni umiliki na recruitment yao wanaangalia technical ability ya mchezaji ndio maana wanafanikiwa kupishana na city uwanjani. Ukija upande wetu sasa,baada ya MARTINEZ,ERIKSEN na kidogo Bruno wengine wote wanaogopa mipira kama kiazi cha moto mdomoni.
Hiyo ndio challenge anayopaswa kupambana nayo mikel arteta, lakini hili linawezekana kama atasimamia kwa nidhamu ya hali ya juu maendeleo ya viwango vya wachezaji wake, suala la recruitments pamoja na sekta ya afya kwa lengo la kupambana na majeruhiSio kwa chuki kwa gunners pamoja na mpira mzuri wanaocheza leo hii binafsi sijashawishika kama ni suala endelevu kuwakuta wakiwa juu misimu 2 mfululizo kama ilivyo kwa city na liverpool.
Nakumbuka niliwahi kushare humu ndani..Lakini unaisemea vipi hali ya uchovu wa mechi nyingi mfululizo pamoja na mabadiliko ya kikosi cha kwanza mechi hadi mechi kwenye kile kipigo?
City hajashuka Kama wengi wanavyoaminiSio kwa chuki kwa gunners pamoja na mpira mzuri wanaocheza leo hii binafsi sijashawishika kama ni suala endelevu kuwakuta wakiwa juu misimu 2 mfululizo kama ilivyo kwa city na liverpool. Kwa msimu huu ubora wa city umeshuka na liverpool ndio kama unavyoona tena.
Wameimarika lakini hawajafikia kiwango cha hao wawili,falsafa yao ni umiliki na recruitment yao wanaangalia technical ability ya mchezaji ndio maana wanafanikiwa kupishana na city uwanjani. Ukija upande wetu sasa,baada ya MARTINEZ,ERIKSEN na kidogo Bruno wengine wote wanaogopa mipira kama kiazi cha moto mdomoni.
Fanya ulale, kesho ofisiniHata mngepumzika mwaka mzima
Bado tungewapiga nje ndani.
Karibu seven up Mkuu.View attachment 2548054
Unachosema ndio hiki nichosema ila mnasema tuna chukiBado hatuna uwezo wa kwenda nguvu kwa nguvu dhidi ya liverpool kimpira,
hivyo hatukuadhibiwa kwa sababu ya uchovu siku ile bali liverpool waliamua kupasha kiporo chao cha ubora japo kwa asilimia 60, walikimbia zaidi yetu, walifika kwenye eneo la mpira zaidi yetu, waliharibu nguvu yetu ya kushoto (martinez amekuwa injini yetu ya kusambaza mipira)
Kuna makosa mengi sana walifanya liverpool lakini hatukuwa wakatili.
Huyu ndugu yetu Don Clericuzio ameadimika kwenye majukwaa yote ya michezo,sijui amepatwa na masaibu gani?
Wallahi sijui kilichomsibu huyu bwana.Huyu ndugu yetu Don Clericuzio ameadimika kwenye majukwaa yote ya michezo,sijui amepatwa na masaibu gani?
Kama Arsenal tungekua tunacheza 3 4 3 huyu Tavares angekua hatari vile vile. Hakimi hakushine Madrid kwa ajili ya formation, ila Malacia hapati namba siyo kwa vile formation haimsupport ila ni kwavile Shaw anaoffer kinachotakiwa kuliko yeye.Tomiyasu ambaye Arsenal anacheza wiki kila wiki LB, RB , unamfananisha na malacia? Ambaye alisajiliwa kuja kumtoa Luke Shaw tuliyeambiwa ameisha
Nuno tavares ni usajili ambao ulifeli ni wa Bei Chee £7m sidhani Kama unaweza kulaumu mchezaji backup wa £7m kufeli? Now ligue 1 ni winger ana Goli za kutosha
Huyu Casemiro simuelewi sijui ndio kapata namna nzuri ya kula pensheni yake pale United? Siku akijisikia kuchoka kucheza anatafuta red kadi yake moja safi anaenda kopa kabana kula upepo wa bahari bila kelele za akina Neville na na Scholes.
Kwa leo nimeogopa sana uchezaji wetu umenikumbusha manchester ya Ole wakati huo; ukisajili beki,kiungo kinavuja,ukisajili kiungo ushambuliaji unadhoofu ili mradi timu isitulie.
Tanganyika ndio wapi wacha ujinga.Teh teh teh
Kwa nini niwe gubu bwana hamis,
Nilikuwa na rafiki yangu kwa sasa yupo huko tanganyika anaitwa msellem.
Alikuwa anashabikia arsenal, sauti yake ilikuwa inatawala kibanda umiza kwa fujo zake.
Nikiziangalia fujo zako zinanikumbusha mbali sana