
KENGE sana nyieMbona ujasema Madrid alichapwa na Barcelona tulietoka kumchapa sisi mpira aupimwi hivyo mbetie betis leo mkuu kama unamuamini.Juzi kati niliangalia mechi kati ya Real Madrid v/s Real beatis ambapo matokeo ilikuwa 1-1 kiukweli ilikuwa bonge moja la mechi, Man U wasipojikaza naziona 7 zingine zikitaradadi
@opala iyooJaribu 32bit version
![]()
Football Live HD AF 2.0_MultiPatch_NoVpnBlock_Mobile_Arm7
MediaFire is a simple to use free service that lets you put all your photos, documents, music, and video in a single place so you can access them anywhere and share them everywhere.www.mediafire.com
Pia angalia kama una version ya zamani itoe kabla ya kuweka hii.
Kocha kapanga kikosi kile kile kilicho chapwa goal 7 wafungwe na leo sasa.View attachment 2543583
Kirusi anafanya jake huko kwa Kibibi kizee cha Turini.Paul Pogba has not been called up for Europa League game vs Freiburg due to disciplinary reasons️
️
#UEL
No new injuries — but Pogba arrived late yesterday evening and he won’t be part of Juventus list.
Fred yuko serious 🤣🤣🤣🤣🤣Kocha kapanga kikosi kile kile kilicho chapwa goal 7 wafungwe na leo sasa.View attachment 2543583
Yaani hadi uweke 7bu 🤣🤣🤣🤣 huwezi andika vizuriKafanya makusudi 7bu angekibadilisha na kuweka wengine tayari concentration yao ingeanza kupotea
Kawapanga ili wajenga hali ya kujiamini na tutashinda leo 3 kwa Moja
Nilishasema kocha mjinga sana huyu. DALOT, ANTHONY wanafata nini kwenye first eleven?Kocha kapanga kikosi kile kile kilicho chapwa goal 7 wafungwe na leo sasa.View attachment 2543583
chama kubwa dunia nzimaUongo unakusaidia nini?Juzi kati niliangalia mechi kati ya Real Madrid v/s Real beatis ambapo matokeo ilikuwa 1-1 kiukweli ilikuwa bonge moja la mechi, Man U wasipojikaza naziona 7 zingine zikitaradadi
Umemkamata pazuri sana huyu kengeUongo unakusaidia nini?
Real Betis (sio real beatis)
Lini wamecheza mpaka wewe ukaangalia ukaona bonge ukaona matoke ya 1-1?
Game ya tarehe 5 /3/2023 Real betis 0 vs Real Madrid 0...
Hio bonge ya game 1 vs 1 tuambie wafaungaji wao tuwajue sie wazee wa 2+


