Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tofautisha "kufungwa goli nyingi" na "kufungwa mechi nyingi" DEJAN7
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyie panya mpoooooooooo?????mmekuwa wapoleee kama mwizi kati kati ya wenye hasira kali..hahahahahahahahahahahah mbaaaavu
 
Hawa Benfica huu mpira wanaocheza walijifunzia wapi?
Hivi karibuni sijaona timu inayocheza mpira mzuri namna hii
Kuliko Arsenal?


Leao said:

"I’ve seen a lot of games this year.

"I like Arsenal, ....they play very well."
 
Ila kuna kitu nyuma ya pazia...kipindi cha mzee ferg sikuwahi kushuhudia maumivu kama haya ni KWA nini Man U imekuwa laini kiasi hiki?
Aisee! Kila nikikaa nafikiria goli saba nahisi kama kuna msiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…