Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wameanza kuchoka naona maana kubolonga kwao huko asila wanatuletea hapa kama cheltako kubolonga kwote kule ety nao wanapata kiburi Chakuja kutujazia nzi hapa.
We waache mwisho wa msimu ndo tutajua nani kubwa jinga.

Kuna watu watamaliza msimu bila kombe na hawataamini, kuna watu hata Europa League hawatashiriki.
 
Hivi mkuu bruno alifanyaje mbona ameandamwa hivi?
 
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.
 
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Kuna Moja Ile kapoteza mpira, alaf kasimama kama kasusa fulan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…