Louis Saha on Bruno Fernandes: "I think he wants to win and that's what I see in him. If the players around him are unhappy with his body lanquage and are worried about being criticised by their captain, change jobs.”
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.