verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,126
- 6,182
Kweli mkuuYani kushinda carabao cup tu ndo tutengeneze maadui wengi hivi kweli.
Haki ya mama uniited hatupendwi.View attachment 2539009
Dharau gani liverpool anaweza ifanya mbele ya barcelona?Hizi dharau Liverpool hawezi kuzifanya mbele ya Real Madrid lkn anaweza kuzifanya mbele ya Man United na Barcelona. Inasikitisha sana.
Koloboi cup nalo ni kombe?Yani kushinda carabao cup tu ndo tutengeneze maadui wengi hivi kweli.
Haki ya mama uniited hatupendwi.View attachment 2539009
Hebu tuache kidogo mzee.Cheza hivi kwenye casino ya jupita
Kwa sasa Bet companies nyingi zime stukia huu mchezo na waka amua kuweka limit ya pesa kwenye kubet casino na victual games
Hii ni baada ya kupigwa sanaaa...
Wapo hawa Jupitabet ambao wo wana deal na casino pekee na bado hawaja pigwa na bado pia hawaja limit mzigo sasa kabla hawaja stukia issue acha ni share hii trick tumbomoe mpaka maji aite mma....
JINSI YA KUCHEZA..
Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin
Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.
Sisi tuna deal na option moja tu! Kama ni tail au head ni hiyo hiyo hatubadili ila tuna I manupilate odd
Huu mchezo uko programed kua pande mbili za shillingi hutokea kwa ku gawana silimia(probability) ,
Inaweza kua wameweka head ni 40% alaf tail ni 60%(mfano) hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa za kutokea....
Kuchagua upande mmoja maana yake ni ku multiply uwezekano wa kuotea hata kama huna bahati...
Hivyo kama utaweka HEAD yaani
HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne
Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja, haiwezi kutoa tail tuu!! muda wote au head muda wote hua ina change sababu zime gawana asilimia za kutokea.
TUNA PIGAJE PESA
Kumbuka ukipatia unapata mara mbili ya dau lako
Tuseme unaweka buku 2000 na tunadeal na HAEAD
Round ya kwanza
mfano iwe TAIL yani ukose
=>hasara ni buku mbili (-2000)
Raundi ya pili
Tunaenda tena na HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani 4000
Assume tulekosa tena.... Yaani itoe Head.
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)
Mara ya tatu tunaweka tena TAIL ila kama kawaida double tuna naweka 8000
=> hii ikitoa maana yake unakua na 160000
Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000
Yani hata Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000
Ulitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000
Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku
Uzuri huu mchezo haupotezi muda ndani yani Dakika kisha eleweka..
Website yao ni jupitacasino.site
Uki sign up wanakupa 1000 la kuanzia.
NB : Hii sio risk ni uhakika hapa ni speed yako tu ya kuzipiga hizo faida kwa siku..
link www.jupitacasino.site
video
Cheza mwenyewe huo UJINGA wako,hapa tunazungumzia SENGE moja KUGONGWA 7 jana na sio mambo ya kucheza Jupita sijui,acha uchokoCheza hivi kwenye casino ya jupita
Kwa sasa Bet companies nyingi zime stukia huu mchezo na waka amua kuweka limit ya pesa kwenye kubet casino na victual games
Hii ni baada ya kupigwa sanaaa...
Wapo hawa Jupitabet ambao wo wana deal na casino pekee na bado hawaja pigwa na bado pia hawaja limit mzigo sasa kabla hawaja stukia issue acha ni share hii trick tumbomoe mpaka maji aite mma....
JINSI YA KUCHEZA..
Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin
Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.
Sisi tuna deal na option moja tu! Kama ni tail au head ni hiyo hiyo hatubadili ila tuna I manupilate odd
Huu mchezo uko programed kua pande mbili za shillingi hutokea kwa ku gawana silimia(probability) ,
Inaweza kua wameweka head ni 40% alaf tail ni 60%(mfano) hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa za kutokea....
Kuchagua upande mmoja maana yake ni ku multiply uwezekano wa kuotea hata kama huna bahati...
Hivyo kama utaweka HEAD yaani
HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne
Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja, haiwezi kutoa tail tuu!! muda wote au head muda wote hua ina change sababu zime gawana asilimia za kutokea.
TUNA PIGAJE PESA
Kumbuka ukipatia unapata mara mbili ya dau lako
Tuseme unaweka buku 2000 na tunadeal na HAEAD
Round ya kwanza
mfano iwe TAIL yani ukose
=>hasara ni buku mbili (-2000)
Raundi ya pili
Tunaenda tena na HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani 4000
Assume tulekosa tena.... Yaani itoe Head.
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)
Mara ya tatu tunaweka tena TAIL ila kama kawaida double tuna naweka 8000
=> hii ikitoa maana yake unakua na 160000
Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000
Yani hata Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000
Ulitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000
Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku
Uzuri huu mchezo haupotezi muda ndani yani Dakika kisha eleweka..
Website yao ni jupitacasino.site
Uki sign up wanakupa 1000 la kuanzia.
NB : Hii sio risk ni uhakika hapa ni speed yako tu ya kuzipiga hizo faida kwa siku..
link www.jupitacasino.site
video
Maisha ni fumboView attachment 2535228
Kocha mkuu steve McLaren akiwa na msaidizi wake erik ten hag
View attachment 2535230
Kocha mkuu erik ten hag akiwa na msaidizi wake steve McLaren
Ni Opinion but not Facts.Arrogance ndio imewaua manu hii mechi... walikua na dharau sana kuelekea hii mechi, kuanzia mashaiki hadi kocha. Hata ETH alipohojiwa alijibu kwa dharau kuwa pitch ni ile ile, ball size ni ileile, sijui nini na nini... hii ni mechi kubwa kuliko zote england. Alitakiwa kuiheshimu, kaidharau sababu ya kushinda mechi kadhaa mfululizo na kujifanya kwenda toe to toe na timu ambayo iko nyumbani na ni mpinzani wao mkubwa wa jadi ambaye katoka kujeruhiwa mechi zilizopita... ni wazi watakuja na mzuka mkubwa dhidi ya mahasimu wao kurejesha imani kwa mashabiki...
ETH awe na heshima; alikifanya kuingia kichwa kichwa na mancity akala sita, jana kaingia kichwa kichwa kala wiki... asipokua anaheshimu baadhi ya mechi atakua aachezea sana... unaenda heza derby na approach unayoenda kucheza na southampton, lazima ule nyingi...
No ni 2004/2005.Au mpira umeanza kuangalia msimu wa UEFA 2018/2019?
Stats zinaonesha Liverpool alisonga mbele mara mbili kwenye hatua zinazofuata kwa kukutoa, Kwangu bado hiyo ni dharau tu.Angalia stats za liver vs barca
Si ulisema tunaota ushindiHuyu ten hag Kuna mda unasema ana akili, lakin ukimfatilia Vizuri sana na Hilo bichwa lake utagundua ana bichwa kubwa akili kijiko, hii game walistahili kuanza bissaka na malacia.
Next time tutawaachia mvae nyekunduAu Liverpool wametuchanganya na Madrid kwa hizi jezi nyeupe?
Hizi mechi ukivaa jezi afu ukaenda banda umiza kuangalia ni bora ubebe na shati la ziada
Nadhani ameona namna mpira wa kina Rashidi Mpemba unavyopata pancha pale AnfieldView attachment 2539117
Jamaa sijui anajiona nani.. ni unprofessional kuongea kauli kama hizo.
Maneno hayo ilitakiwa aongee shabiki na sio kocha.
Ila liver kufungwa mara nyingi zaidi na barca ni heshima!No ni 2004/2005.
Stats zinaonesha Liverpool alisonga mbele mara mbili kwenye hatua zinazofuata kwa kukutoa, Kwangu bado hiyo ni dharau tu.
Kiukweli mwamba Martinez alionekana kuchoka sana.Jana tumechapika balaa, tuliingia kwenye mfumo wa wahuni na tukajaa kweli kweli, sema sio mbaya tumecheza game kibao mfululizo.
Muhimu tuko bado kwenye mashindano yote, nasemaje ubingwa wa EPL bado tunautaka mjiandae mlio juu huko tunakuja maana tusha maliza game za kufungwa zilizo baki ni kujipigia tu.
SEMA SABA NYINGI AISEE.