Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Jamaa sijui anajiona nani.. ni unprofessional kuongea kauli kama hizo.

Maneno hayo ilitakiwa aongee shabiki na sio kocha.
 
Hizi dharau Liverpool hawezi kuzifanya mbele ya Real Madrid lkn anaweza kuzifanya mbele ya Man United na Barcelona. Inasikitisha sana.
Dharau gani liverpool anaweza ifanya mbele ya barcelona?

Au mpira umeanza kuangalia msimu wa UEFA 2018/2019?


Angalia stats za liver vs barca
 
Hebu tuache kidogo mzee.
 
Cheza mwenyewe huo UJINGA wako,hapa tunazungumzia SENGE moja KUGONGWA 7 jana na sio mambo ya kucheza Jupita sijui,acha uchoko
 
Ni Opinion but not Facts.
Hakuna kitu kinaitwa arrogance kwenye mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…