Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Nimewaambia hapa liver hii game amekamia kinoma..mnakula hata week kaeni kitalaamLiver walikua na hasira sana na nyie kisa maneno yenu ya porojo.
Ukiwaangalia liver kbs unawaona wanacheza kuwahaibisha.
Kazi mnayo mkikaa vby mnaweza kula goal tena.


