Huyu ten hag Kuna mda unasema ana akili, lakin ukimfatilia Vizuri sana na Hilo bichwa lake utagundua ana bichwa kubwa akili kijiko, hii game walistahili kuanza bissaka na malacia.


, mkuu acha matusi Umekalia kwa wapi mkuu?🤣🤣Watu wanafikiria hii mechi Man anafungwa watakuwa wanakosea sana
Tumaini huyuhuyu wa kiwewe?Let's wait for full Time bado lipo tumaini
Leo no aibu kwa kweli, labda mnawezafanya yale maajabu ya 98 UEFA🤣🤣🤣Use.nge mtupu..
Hata siangalii tena
Kweli kabisa,mpira wa ujanja ujanja kwasasa hauna maanaTuache ujanja ujanja
Tufundishe mpira na huwa mpira halisi una take time