Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama tokeo likiwa 2 vs 2, inakuaje?
Aggregate itakua ni 4-4. Hivyo wataongezewa dakika 30 za kucheza. Kama kukiwa hakuna mshindi katika dakika hizo, David De Gea na Marc Andre TerStegen watawajibika kutuonyesha ubora wao katika changamoto ya mikwaju ya penati.

NB: Kanuni ya faida ya goli la ugenini ilifutwa kwenye mashindano yote yanayoandaliwa na UEFA.
 
Tukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.

Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence
Mchezaji anayetupa matokeo Rashid ndiye anaongoza kwa disappointments. Mpaka najiuliza huwa hakemewi!!
 
Tukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.

Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence
Licha ya hiyo..mimi nachohofia ni mechi zinavyofuatana hivi..uchovu

But naamini tutatoboa zote mbili.
 
Barça watawakosa hawa madogo pale kati,
IMG_4156.jpg

Kina bruno wakitumia hii chance vyema hakika matokeo chanya yatapatikana.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa kunyanyua kwa Europa iwapo United itasonga mbele dhidi ya Barca leo usiku, Wapinzani waliobaki hakika tunawamudu kwa kila kitu.
Huna mpira wa kumfunga Arsenal ambaye tayari majeruhi wake Jesus , Partey ndio wamerudi,narudia huna timu ya kumfunga Arsenal ,mechi ya mwisho ilionesha gepu baina ya hizi timu 2
 
Wahuni Arsenal tunawangoja kuanzia round 16

Kama mnahisi kwenye ligi ule mpira tuliwanyanyasa ,omben mpite Leo halafu mpangwe na Arsenal hii ya Pass 700 na magoli ya kutosha
Acha ufala. We jamaa Arsenal inakupa uchizi kwasababu mnaongoza ligi.

Huu muda unaotumia kuja kuandika utumbo hapa jaribu kuutumia kuongeza knowledge yako kwenye football pia fuatilia sheria za mshindano timu yako inayoshiriki.
 
Acha ufala. We jamaa Arsenal inakupa uchizi kwasababu mnaongoza ligi.

Huu muda unaotumia kuja kuandika utumbo hapa jaribu kuutumia kuongeza knowledge yako kwenye football pia fuatilia sheria za mshindano timu yako inayoshiriki.
Acha hasira kijana ,Arsenal tunawangoja muuane kwenye playoff ,

Labda wewe ndio hujui sheria za mashindano
 
Back
Top Bottom