Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,906
- 4,529
Aggregate itakua ni 4-4. Hivyo wataongezewa dakika 30 za kucheza. Kama kukiwa hakuna mshindi katika dakika hizo, David De Gea na Marc Andre TerStegen watawajibika kutuonyesha ubora wao katika changamoto ya mikwaju ya penati.Kama tokeo likiwa 2 vs 2, inakuaje?
NB: Kanuni ya faida ya goli la ugenini ilifutwa kwenye mashindano yote yanayoandaliwa na UEFA.
