kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,142
- 15,757
Kila mtu ana namna yake anavyoangalia mpira,,,,Kwa United ya sasa Wout hawezi kukaa nje. Ila kwa sababu umesema ni "my starting XI" acha tuishi hivyo.
Wout kwetu ana faida Sana japo hafungi na ndio kazi yake ,,,, pale mbele anasumbua Sana mabeki pinzani hasa aerial duels, pia anashuka Sana kusaidia kukaba,,,hapa nadhani ndio ETH anampendea ,,,,
Kaangalie stats zake za our last match, utadhani Ni kiungo kumbe Ni CF
