Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Huna mpira wa kumfunga Arsenal ambaye tayari majeruhi wake Jesus , Partey ndio wamerudi,narudia huna timu ya kumfunga Arsenal ,mechi ya mwisho ilionesha gepu baina ya hizi timu 2Kuna uwezekano mkubwa wa kunyanyua kwa Europa iwapo United itasonga mbele dhidi ya Barca leo usiku, Wapinzani waliobaki hakika tunawamudu kwa kila kitu.
