Quality zinafanana mkuu, hata Sabitzer uwezo wa pasi ni wa kawaida tu, Wote Fred na Sabitzer ni Midfield wenye Energy wanakimbia mda wote, wanakaba na kuharibu mipango ya wapinzani ila hawana uwezo wa Kudictate midfield, kutoa pasi za mwisho na kuretain possesion.
Jana mpaka Kipindi cha kwanza kinaisha tuna Short on Target moja tu na lile Goli alilokosa Dalot, unaona kabisa hakuna Mbinu, Alivyoingia Sancho angalau zikawa zinaonekana movement za utengenezaji.
Hii ni PSG na inamilikiwa na Qatar, sasa hiyo point yako sio sahihi kwa hapaHaya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.
Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.
Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.
Kwani mchezaji wa kucheza role hiyo ni FDJ tu ?Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,
Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.
Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
Football Team ownership, ni Biashara huria.Kuna mambo mengi ukitoa mmiliki (mmuzaji) na mnunuzi. Manchester United ni biashara ipo ndani ya UK. United ni nembo ya soka la Uingereza, tumeshaona nguvu ya serikali kwa club kama Chelsea na mmiliki wao aliyepita ni ishu za kisiasa ndiyo zilifanya auze timu kwa lazima. Hili suala siyo la matajiri tu serikali na siasa zake pia watajichomeka hapa.
Mimi nataka timu apewe muarabu bila kizuizi chochote na sisi tufaidi "oil money"
Haya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.
Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.
Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.
ETH mwenyewe ni FDJ tu, akikosa atatengeneza Mbadala wake kwa wachezaji tulio nao (Eriksen) HIZI zilikuwa tetesi za Dirisha kubwa liliopita.Kwani mchezaji wa kucheza role hiyo ni FDJ tu ?
Pia Huyo jamaa amesoma Chuo cha Jeshi cha Malkia na amegraduate kama Officer Cadet, mpaka wamefikia stage hio washajiridhisha wenyewe.Kuna tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizopo kwenye nchi husika.
Tena watu kama hawa wanaokuja kwa bei kubwa na mbwembwe man u huwa wanatuzingua mfano Pogba. Tunataka watu wanaokuja kimya kimya na bila mbwembwe kama Casemilo.Kwani mchezaji wa kucheza role hiyo ni FDJ tu ?
Jaribu kuangalia vizuri sana kila timu tunayorudiana nayo mara ya pili baada ya mchezo wa kwanza. Mf. Leicester, Leeds, Man City, Real Sociedad, Crystal Palace, Nottingham n.k
Nitakua wa mwisho kumkubali huyo mzimu wenu.Weughost ni defensive striker...
Lkn kiufundi ana sapoti sana mbinu za ETH na toka atue united kachangia pakubwa timu kutulia na kaongeza sana mishemishe kule mbele na kuwapoza wapinzani kutokea kweny beki line. Na pia anatoa nafasi kwa wengne kuonyesha makali km rashford toka jamaa aje ni game moja tu hakufunga. na kiufundi forward line(average) inatakiwe akimbie kwa dakika 60 kati ya 90 za mchezo. Kwa hiyo jamaa iwe mwisho kumkosoa kwa mihemko....na sio ajabu akaongezewa mkataba na sio rahisi kuwekwa nje game ngumu kama arsenal, barcelona, man city, liverpool na wengne sababu ana implements tactics za ETH by that time km ilivo kwa wachezaji wengne km rashford, case, Martinez na wengne.
Hakuna namna, kikubwa ushindi kakaNitakua wa mwisho kumkubali huyo mzimu wenu.