Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msimu huu huyu dogo atafikisha goli 40, bado goli 16 tu. Top scorer Carabao na Europa so far.

Benni McCarthy kaifanya kazi nzuri kwa kijana wetu. Sasa ni zamu ya ku-unlock potential ya Sancho pia.
 

Attachments

  • most-goals-since-world-cup-players-in-europes-big-5-leagues-v0-jh7g1pn086ja1.jpg
    58.8 KB · Views: 13

Unamuweka sabi na fred level moja? Nope
Sabi is more advanced, na ili huyu jamaa aonekane apangwe na casemiro
 
Hii ni PSG na inamilikiwa na Qatar, sasa hiyo point yako sio sahihi kwa hapa
 
Kwani mchezaji wa kucheza role hiyo ni FDJ tu ?
 
Football Team ownership, ni Biashara huria.
Mmiliki akikizi Vigezo anapewa Timu.

Man City na Newcastle zimeuzwa Kwa Waarabu.
Tena Vyanzo vya Pesa ni Serikali za Kiarabu.

Pale England kuna timu zinamilikiwa hadi na Wachina.
 

Kuna tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizopo kwenye nchi husika.
 
Kuna tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizopo kwenye nchi husika.
Pia Huyo jamaa amesoma Chuo cha Jeshi cha Malkia na amegraduate kama Officer Cadet, mpaka wamefikia stage hio washajiridhisha wenyewe.
 
Jaribu kuangalia vizuri sana kila timu tunayorudiana nayo mara ya pili baada ya mchezo wa kwanza. Mf. Leicester, Leeds, Man City, Real Sociedad, Crystal Palace, Nottingham n.k

Huwa kuna kuwa na massive improvement kutoka mchezo wa kwanza pia yeye huwa anafanya kazi na football analysts wengi sana toka yuko Ajax. Ule mchezo wa Arsenal baada ya kufungwa ktk team talk inasemekana aliwaka sana aliwaambia wachezaji "if you want to win titles you need to change your mentality".
 
Nitakua wa mwisho kumkubali huyo mzimu wenu.
 
Jumapili tunanyanyua makwapa..it's been a while hatujafanya hivyo..EtH sidhani kama atafanya mambo ya Ole ..


But first acha tuwape kipigo Barcelona..OT mixer Casemiro ndani na mnyama Licha ndani
.aaah tutawaleta kati tu..aaah uhakika hapa.

Quadruple race tupo ndani...Carabao,FA,UEL,PL.

GGMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…