Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwetu Tanga Cable zipo ila zinapigwa pin mara kwa mara na kina dstv
 
Cable inakuwa ni 1080??..yani UHD??
 
Wale mashabiki wa Yanga na Man Utd gonga like tujuane[emoji847][emoji847][emoji847]
Kwetu leo rahaaaaaaa[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Tena ni zaidi ya raha jamaniii.
Kuna kubwa jinga moja jana limelihaibisha Taifa, wananchi kama wananchi wameenda kuifuta haibu hiyo.
Hongera wananchi, sasa Taifa liko huru.

Ikikuuma mimi kupost hivi, kapige mswaki usukutue.
 
Wegost jini lile ingawa watu wanalikataa tu
 
Wachezaji si wanafanya mazoezi kila siku.?

Kama kocha ndo anataka manake anatengeneza kila njia waweze hiyo style yake.

Tuwe na imani na wachezaji wetu.
 
Wachezaji si wanafanya mazoezi kila siku.?

Kama kocha ndo anataka manake anatengeneza kila njia waweze hiyo style yake.

Tuwe na imani na wachezaji wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…