Wote tunafatilia soka bro tunapotoa facts huwa tunakua na data!. Hakuna Man utd katika dunia hii ilishawahi kishinda Camp nou!. Hapa mimi na wewe nani alikuwa mdogo sasa
Game ya Newcastle jumapili ijayo,tarehe 26/2 inamaana Man utd itakua imecheza jumla ya mechi 17 kwa muda wa siku 57,sawa na wastani wa mechi moja kila baada ya siku 3...
Naimani kwa wenzetu sidhan kama wangemaintain hata iyo nafasi ya pili waliyonayo...
Wote tunafatilia soka bro tunapotoa facts huwa tunakua na data!. Hakuna Man utd katika dunia hii ilishawahi kishinda Camp nou!. Hapa mimi na wewe nani alikuwa mdogo sasa