ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Yaan anatembea na mpira kama mzeeHuyu jamaa hawezi kabisa kucheza mpira, sijui EtH anawaza nini.
Yaan anatembea na mpira kama mzeeHuyu jamaa hawezi kabisa kucheza mpira, sijui EtH anawaza nini.
Inasikitisha sn, mbona nje kuna wachezaji aiseeSijui coach anasubiri tufungwe


nmecheka sana hii moment jamaa anamuone fred na ushort wake anageuka nyuma anakuta jitu linamuangalia nae ashakuwa short



Kaingia beki kisiki Martinez na kijana mwenye akili kubwa Garnacho ngoma imachange kabisa. Tunawakimbiza ipasavyo saa hiiGame imepooza kama mate ya mlevi.
Wazee! Martinez anaupiga mwingi