K88K
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 313
- 655
Kesho kutwa hapo kuna barca mnataka kocha afanyaje.Kuna siku nilisema huyi kocha ni "mjinga" watu wakanijia juu. Kuna mtu angeweza kuhisi Maguire, Dalot, Whergost wataanza leo?
Kesho kutwa hapo kuna barca mnataka kocha afanyaje.Kuna siku nilisema huyi kocha ni "mjinga" watu wakanijia juu. Kuna mtu angeweza kuhisi Maguire, Dalot, Whergost wataanza leo?
Bora sijaenda kutazama mechi... nilivoona tuu kikosi nkajua apa amna shughuliNaona Maguire yuko slow kinoma, Sijui anataka kuchangamka tukishafungwa!
Aingie tu Genarcho badala ya Weghost. Fred atoke aingie yule dogo wa team BKocha amtoe malacia aingie martinez afu amtoe wegorst aingie garnacho ili rashford acheze kati
Sancho ndo mchezo wake. Anachezaga Kwa kitulia. Mwanzoni nilionaga Hana amsha amsha. Ila ndo style yakeSancho anacheza kiuwoga sana ..