The greater man
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 237
- 190
lukaku s aliyeonekana bora alikuja akashindwa tukalalama akaondoka na athony itakuwa hvo hvo kocha kumnunua mchezaj sio tatzo na haimainish wwrghost nae kaletwa na kocha huyo huyo mnaembeza tatzo ni mapenz mnaendekeza.Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vile
Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.Msimu huu antony martial amekosa mechi 20
Mtu anaandika "wanambrock" mtaelewana naye vipi?Nadhani hatuwezi kuelewana kabisa.
Madrid hawawezi kumwachia bora tuende kwa Rodrigo Bentacur au Piotr ZielinskySummer target for Man United
#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2506535
Bonge moja la transformation hawajamaa wakiondolewa hususan Maguire.Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.
Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).
Hahahaa Ten Hag ni mjanja sana anapo-deal na waandishi wa habari. Usiamini kauli zake kirahisi rahisi umesahau alichokuwa anasema kuhusu Ronaldo mbele ya camera?Inaonekana Erik anampenda sana cause press conference zake nyingi anapo muongelea martial anaonekana kuwa ni mchezaji aliye katika mipango yake.
Labda ziwe mind games
Let's wait
Huyu mreno huwaga anakichafua balaa katikati.Kuna jamaa yupo fulham pale ,,,,palinha(mreno),,, dah anakichafua Sana aisee, huyu mwamba hastahili kuchezea timu ndogo !
Hatufai,???? ,, kuendelea kuwakumbatia kina tominay na kumtegemea Casemiro pekee,,,akipata injury ya muda mrefu au red card Kama Jana inakuwa disaster kwetu !!!!
Chief-Mkwawa
Darmian
Hivi kasemilo jina lake lote ni aje?
Palihna tulizingua wenyewe msimu uliopita miezi kama hii Sporting Lisbon walikuwa wanataka euro 20M tu. Ralph ali-recommend yeye na Enzo akiwa River Plate naye bei yake ilikuwa euro 18M.Kuna jamaa yupo fulham pale ,,,,palinha(mreno),,, dah anakichafua Sana aisee, huyu mwamba hastahili kuchezea timu ndogo !
Hatufai,???? ,, kuendelea kuwakumbatia kina tominay na kumtegemea Casemiro pekee,,,akipata injury ya muda mrefu au red card Kama Jana inakuwa disaster kwetu !!!!
Chief-Mkwawa
Darmian
Huwa namuangalia anavyokichafua naishia kusonya tu ,,,, eti tominay ndo mmbadala wa casemiroHuyu mreno huwaga anakichafua balaa katikati.
Baily nilikuwa namkubali sana ila cheza yake sasa reckless sanaKuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.
Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).